Kwani Barclays ipo mpaka leo hapa Tanzania?, si' nasikia imesitisha huduma zake?
Kwa mwezi unakatwa sh. ngapi ya makato?
*2500tsh kama makato tofauti na wengine wana 3660 na hadi elfu 10
*600tsh makato kwenye Atms na tofauti na wengine mpaka1000 per transaction