Benki kubwa ya Urusi yaaga soko la bara Uropa na kufunga matawi yote huko

Benki kubwa ya Urusi yaaga soko la bara Uropa na kufunga matawi yote huko

Acha Ushabiki Maandazi Kama Haujui Mambo Kaakimya,
dunia inanchi 195 ebu weka nchi ambazo zimepiga kura kulaani urusi kuvamia ukrein?

arafu kama vikwazo urusi ishawekewa sana na mara zote madhara yanakuwa makubwa kwa mabeberu wa nato;

urusi haitishiki na vikwazo inajitosheleza kwa kila kitu na ukumbuke kuwa dunia inaiitaji urusi zaidi, tangu vita ianze mafuta na gess yamepanda kwa %60 inchi za ulaya na hali inazidi kuwa mbaya;

marekani juzi kanunua mafuta lita milion 90 kutoka urusi arafu wewe unakuja na habari sijui umezitoa wap?

Sasa wewe ndiye usiye na ushabiki? Mnachekesha sana Warusi wa kwa Mpalange, kuna video zinazunguka mitandaoni masheikh wanajifanya kuchambua huu ugomvi utadhani Putin amekua mtume.

Hayo mafuta ya Mrusi sio kwamba anagawa bure, na yeye pia anafaidi kwenye biashara, hivyo haimaanishi avute mapumbu ya dunia kisa anayo mafuta, lazima asemwe akfanya upumbavu na vikwazo vya wakati huu sio vya kawaida, anaendelea kubinywa, Warusi wameanza kumchukia Putin balaa, fuatilia mitandao yao au sehemu wanakochangia haswa Quora.
 
Acha Ushabiki Maandazi Kama Haujui Mambo Kaakimya,
dunia inanchi 195 ebu weka nchi ambazo zimepiga kura kulaani urusi kuvamia ukrein?

arafu kama vikwazo urusi ishawekewa sana na mara zote madhara yanakuwa makubwa kwa mabeberu wa nato;

urusi haitishiki na vikwazo inajitosheleza kwa kila kitu na ukumbuke kuwa dunia inaiitaji urusi zaidi, tangu vita ianze mafuta na gess yamepanda kwa %60 inchi za ulaya na hali inazidi kuwa mbaya;

marekani juzi kanunua mafuta lita milion 90 kutoka urusi arafu wewe unakuja na habari sijui umezitoa wap?
Wewe swaga ng'ombe 🐮 upelekee tajiri akauze mnadani Kibaigwa hakuna unachokifahamu kwenye maswala haya.

Hujui Russia mwenyewe analia na vikwazo alivyowekewa hadi Ruble imeshapoteza asilimia 30 ya thamani yake, Lavrov alishindwa kusafiri kwenda nchi za nje kwa sababu atapita anga gani.
Bei za bidhaa mbalimbali zimeshapanda nchini Russia na zaidi ya watu 5,000 wako ndani kwa kuandamana kupinga uvamizi na maandamano zaidi yanaandaliwa nchini kote. Wewe unaingilia ubishi usioujua eti kwa kufuata tu mkumbo.
 
Mimi ni shabiki wa.US na fansi wao kindakindaki lkn likikija suala vita ,huwa siungqni nao kabisaa!! Marekani amepigana Vita vingi kwa maslahi ya watu wake it's ok,Tanzania tulimpiga Amin kwa maslahi ya watu wetu it's ok,like wise russian anampiga Ukraine kwa maslahi ya watu wake it's ok too!!!. Tuache unafiki .
 
Ukiangalia kule kwenye kikao cha umoja wa mataifa mataifa karibu yote yamepiga kura kupinga uchokozi wa warusi na ni mataifa matano tu yaliyounga mkono na machache sana kama 35 hivi hayakupiga kura.

Hiyo inaonesha ni jinsi gani mataifa mengi yalivyokataa ushenzi wa warusi na fikra za wengi pia zinashabihiana tu hayo matokeo.

Hivyo vyovyote itakavyokuwa Russia hawataweza kuvishinda hivi vita walivyoanzisha wenyewe kwa upumbavu wa akina Putin na genge lake.
Sasa kama ulikuwa na GOVI ukatahiriwa buure kwa pesa ya marekani na bado ukapewa na net dhidi ya mbu wakakutengenezea na virusi vya ukimwi bado wakakuletea na AntiRetroviral drugs (Protease Inhibitor and Transcriptase Inhibitor) kwanini usiwaone mungu?
 
Utateseka sana na pesa za korona ndo kwa kheri kunyen sana nasema kunyen sana
Acha Ushabiki Maandazi Kama Haujui Mambo Kaakimya,
dunia inanchi 195 ebu weka nchi ambazo zimepiga kura kulaani urusi kuvamia ukrein?

arafu kama vikwazo urusi ishawekewa sana na mara zote madhara yanakuwa makubwa kwa mabeberu wa nato;

urusi haitishiki na vikwazo inajitosheleza kwa kila kitu na ukumbuke kuwa dunia inaiitaji urusi zaidi, tangu vita ianze mafuta na gess yamepanda kwa %60 inchi za ulaya na hali inazidi kuwa mbaya;

marekani juzi kanunua mafuta lita milion 90 kutoka urusi arafu wewe unakuja na habari sijui umezitoa wap?
Achana naye huyo kakatwa Govi kwa msaada wa US
 
Sasa kama ulikuwa na GOVI ukatahiriwa buure kwa pesa ya marekani na bado ukapewa na net dhidi ya mbu wakakutengenezea na virusi vya ukimwi bado wakakuletea na AntiRetroviral drugs (Protease Inhibitor and Transcriptase Inhibitor) kwanini usiwaone mungu?
Kwa hiyo wewe Russia unayemuona Mungu yeye kakufanyia nini.
 
Hizo exchange rates ni za nyuma, leo hii 1 US$ = 130 Rubles na kabla ya uvamizi ilikuwa 1 US$ = 76 Rubles na bado sarafu ya Russia inazidi kupoteza thamani na labda itasoma 1 US$ = 1,000 Ruble ndani ya siku 60 zijazo.

Benki kuu ya Russia imezuia mabenki kuuza fedha za kigeni ili kujaribu kuokoa jahazi na soko la hisa la Moscow tayari limeshafungwa huku maandamano ya kupinga vita yakizidi kushika kasi na leo Al Jazeera News imetangaza kwamba zaidi ya waandamanaji 14,000 wametiwa nguvuni kote nchini Russia.

Putin amewambia askari wake watumie nguvu kubwa sana ili watu wa Ukraine wawe na hofu na waweze kusalimu amri.
 
Back
Top Bottom