Benki kubwa ya Urusi yasitisha miamala ya hela ya China - hali mbaya

Benki kubwa ya Urusi yasitisha miamala ya hela ya China - hali mbaya

Mpaka uwe Super power lazima uwe na ushawishi mkubwa sana, technology na wadau wenye pesa kama america na ndugu zake wazungu wa ulaya kama alivyo sasa, hata huyo mchina akizuiwa asiuze kwy soko la ulaya anaanza kutapa tapa tuuuu

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwanchi zote hata usa [emoji631]
 
Mpaka uwe Super power lazima uwe na ushawishi mkubwa sana, technology na wadau wenye pesa kama america na ndugu zake wazungu wa ulaya kama alivyo sasa, hata huyo mchina akizuiwa asiuze kwy soko la ulaya anaanza kutapa tapa tuuuu

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Bora umemuambia, Trump alimpiga sunctions China hatosahau
 
Vp ukraine kichapo kimefikia wapi?
Uliza Urusi vita iko mwezi wa nne sasa muulize kulikoni? Alitamba kuwa ndani ya saa 72 atakuwa kuchukua mji mkuu wa Kyiv na kumuondoa Zelensnkyy madarakani .Hadi leo Vipi masaa 72 hayajaisha ?
 
Uliza Urusi vita iko mwezi wa nne sasa muulize kulikoni? Alitamba kuwa ndani ya saa 72 atakuwa kuchukua mji mkuu wa Kyiv na kumuondoa Zelensnkyy madarakani .Hadi leo Vipi masaa 72 hayajaisha ?
Mwambie ukraine aache kulialia na kuomba backup ya nje,atulie mwenyewe kwenye battle field kama hata izo 72hrs atatoboa...
 
Mwambie ukraine aache kulialia na kuomba backup ya nje,atulie mwenyewe kwenye battle field kama hata izo 72hrs atatoboa...
Binadamu huwezi kosa michango ya majirani ya harusi au misiba yandugu na well wishers
Ukraine mtu wa watu social ulitaka asichangiwe na ndugu na marafiki?

Russia ni gate kali self contained hahitaji jirani au yeyote. Duniani maisha sio self contained life Putin bwege
 
Ha ha ha!! Ona mnavyojiliwaza, sasa hapo umesahihisha nini haswa kwa kusema benki wanashirikiana na China kurekebisha, hayo ni matamko ya kidiplomasia tu, ila sote tunaona kinachotendeka.
Urusi wenu anaendelea kuangukia pua.
Sikujua we nawe unamihemko mpaka unakua hamnazo,ssa ndio umeandika nn kujidefend tujue umeelewa hku mada umeipotosha.ovyooo
 
Sikujua we nawe unamihemko mpaka unakua hamnazo,ssa ndio umeandika nn kujidefend tujue umeelewa hku mada umeipotosha.ovyooo

Ndio umesema nini sasa maana kama umekurupuka hata haujui nini kinajadiliwa humu...
 
China ndio taifa linalofaidi pakubwa kwa Urusi kwa hili anguko la Urusi, ila pia nao wameanza kuathirika, benki kubwa ya Urusi imesitisha haitofanya miamala inayohusu hela ya Uchina....
Na pia inapata tabu kutumia hela ya India

==================

June 8 (Reuters) - Russian lender Sberbank (SBER.MM) suspended settlements in yuan for corporate clients from June 7, the bank said on Wednesday.

"Currently, the bank is working with Chinese partners on solving the situation and renewal of the settlements," a company spokesperson said.

It was not immediately clear what lead to the stoppage of the operations in the Chinese currency.

According to several sources, Sberbank also has had difficulties in processing payments in Indian rupees as well.
Ni suala la mda tu,
Urusi itakuwa kama Zimbabwe .
 
China ndio taifa linalofaidi pakubwa kwa Urusi kwa hili anguko la Urusi, ila pia nao wameanza kuathirika, benki kubwa ya Urusi imesitisha haitofanya miamala inayohusu hela ya Uchina....
Na pia inapata tabu kutumia hela ya India

==================

June 8 (Reuters) - Russian lender Sberbank (SBER.MM) suspended settlements in yuan for corporate clients from June 7, the bank said on Wednesday.

"Currently, the bank is working with Chinese partners on solving the situation and renewal of the settlements," a company spokesperson said.

It was not immediately clear what lead to the stoppage of the operations in the Chinese currency.

According to several sources, Sberbank also has had difficulties in processing payments in Indian rupees as well.
Fuvu kujaa mayonize badala ya ubongo ndo matokeo yake haya
 
Ha ha ha!! Ona mnavyojiliwaza, sasa hapo umesahihisha nini haswa kwa kusema benki wanashirikiana na China kurekebisha, hayo ni matamko ya kidiplomasia tu, ila sote tunaona kinachotendeka.
Urusi wenu anaendelea kuangukia pua.
Ataishiwa pumzi kabisa
 
Chinese President Xi Jinping’s government has called Russia its “most important strategic partner” and criticized sanctions on Moscow. But Chinese companies and banks appear to be complying with trade and financial restrictions.
😂😂
Huku ndo kunaitwa 'kung'ata na kupuliza..'
Putin atulize kalio dawa izame!!
 
Back
Top Bottom