Naibu Gavana wa benki kuu Dr Kibese amesema wananchi wasiwe na wasiwasi wiwote kwani benki ina akiba ya fedha za kigeni za kutosha.
Dr Kibese amesema hata kama uzalishaji utasimama kwa miezi 6 benki kuu ina akiba ya kutosha kuendesha nchi.
Dr Kibese amesema hayo katika mahafali ya shule ya sekondari umbwe mkoani Kilimanjaro.
Source: ITV habari
AM ADDICTED🤭🤭.
As an addict of Betting society of Tanzania,
1. It's better we sleep hungry but save that 100 kuwekelea bet.
2. Winning is always our mentality, losing is an accident caused by satan and his girlfriend.
3. There's always a running bet at each hour, minute, second and microsecond. We keep on checking ata tukiwa tunaomba.
4. It's better ukose bundles za kuingia google classroom but sio za kufuatilia game live.
5. Muhindi ni adui wetu ambae hapendi tufanikiwe.
6. We usually pity our friends who don't bet, like how do they survive?
7. Lazima kuchunga bet. We don't sleep upto the last game igonge 90.
8. We don't withdraw all, huwa tunabakisha kwani kesho pia ni lazima tuweke.
9. We never ever tell anyone kama tumeshinda, apart from our one loyal morio.
10. And finally, We believe that IPO SIKU. JACKPOT ni yetu sote na tutaiwai✅✅.
✍️✍️ Bondpost