Wakibana rushwa watapigaje?Kila siku USD zinatumwa Japan zitapatikana vip.
Serikal Ibane matumiz ya USD yasiyo ya lazima ikiwemo kununua magar mapya ...
acha roho mbaya mkuu! Usitake kupangia watu matumizi kama vile ulikuwepi wakati wa kuzisakaKila siku USD zinatumwa Japan zitapatikana vip.
Serikal Ibane matumiz ya USD yasiyo ya lazima ikiwemo kununua magar mapya ...
Za serikali zikowapi ni aibu serikali kukosa akiba yakutosha kumpup soko mpaka listabilizeView attachment 2761849
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amewataka watu walioficha Dola kwa malengo ya kusubiri zipande thamani na kujipatia Faida zaidi kubwa, waziachie kwenye mzunguko wa Biashara, ili kuondoa uhaba wa Fedha hiyo Nchini.
...
Ni muda Afrika kuwa na currency yake ili tuepukane na Dola domination.
Haiwezekani Kwa kuwa hoja si Dollar Bali uchumi.Ni muda Afrika kuwa na currency yake ili tuepukane na Dola domination.
Dhahabu sawa. Jee dhahabu si zinanunuliwa Kwa fedha? Jee hizo fedha za kununulia dhahabu za kuhifadhi tunazo??Mnashindwa hata kuwa na akiba ya dhahabu wakati zimejaa ardhini na watu wanafukua kila kukicha.
hayo mengine ni mazingaombwe tu, kiukweli ni kuwa hakuna dola.Dola hamna wasitudanganye.
NMB kwasasa wanauza dollar 100 kwa kila mtu hutakiwi kuzidisha
Nchi yote hiyo Mkuu inashindwaje kununua dhahabu na kuweka reserve miaka yote hiyoDhahabu sawa. Jee dhahabu si zinanunuliwa Kwa fedha? Jee hizo fedha za kununulia dhahabu za kuhifadhi tunazo??