Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri ufafanuzi wa mwenyekiti wa CCM taifa!Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Sidhani hizo noti wanazotoa ni za muda sana na nyingi zimeshapotea kwenye mzunguko kabisa labda mia tano ya noti kwa mbali ndio unaweza ibahatisha.Kama hakuna msukumo wa kisiasa ni jambo jema sana.. Kinyume chake tumekwisha....
Maana si ajabu tukaletewa zenye sura za wanasiasa
Mimi ninazo hizi ni za mwaka gani hizi
Duu!Subiri ufafanuzi wa mwenyekiti wa CCM taifa!
Wasitutishe.Wenye fedha kwenye sandarusi wajiandae kisaikolojia.
Noti ya mama inaandaliwa😅😅
NomaKwaiyo hizi bilioni 20 cash nilizo iba wakati wa Nyerere si wata nishika taweza badili zote kwel .
Ukisema unaondoa fedha za zamani,, je hizo mpya ziko wapi ? Uzamani maana yake ni nini. Mpya zina ubora gani ? Zipo faida za kiuchumi za kibadilisha.
Haya maswali miyanani mkuuUkisema unaondoa fedha za zamani,, je hizo mpya ziko wapi ? Uzamani maana yake ni nini. Mpya zina ubora gani ? Zipo faida za kiuchumi za kibadilisha.
Election. We print two sets:Kuna sababu yoyote ile ya kuchapisha noti za shillingi za kitanzania wakati tukitarajia ujio wa sarafu mpya ya Afrika Mashariki SHIEFRA?
.......pesa hakuna mzunguko ziko chumbaji kwa Avdul na Gang lale Kiz Gang....wanatuhadaa na mazingaombwe ya BoT kuziita pesa.....sasa vipi zikuwa kwenye dola ? Baadae wazibadilishe tena madafu ? Mazingaombwe Kiz vs BoTZinaletwa noti zenye pocha ya Mama Abdul, Baba Abdul, Mchengelwa, Abdul kwa upande wa mbele na nyuma kumewekwa alama za Msikitini na picha ya Shehe Kipoozeo, Mazinge, Dr. Sulle bila kumsahau Mufti mkuu.
Zile picha zilizotrend mtandaoni za mama abdul akiwekwa kwenye noti na mremba mwekundu zilikuwa za kweli na walizileta makusudi kupima upepo. Zile ndio zinakuja rasmi.
Zipo na hazipo kwani hazijawahi kuondolewa rasmi, wengi hawajaelewa tangazo labda mtu asome mara 2,3Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.