Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeelewaje? Noti zilizopo zilizo orodheshwa hapo nyingi hazipo kwenye mzunguko tangu kitambo sana na zoezi hili wala halita athiri hizi note zilizopo sasa kwenye mzunguko
Nashangaa mchumi wa kusomea anaandika "kubadirish pesa". Ni kumsamehe tu na kuachana naye.Unateseka ukiwa wapi mchumia tumbo
Hizo noti ni zamani sana na hazipo!Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Mshana, huyo ni majigambo ya kusomea uchumi kama Mwigulu na PhD lakini ni hewa tupu!Nashangaa mchumi wa kusomea anaandika "kubadirish pesa". Ni kumsamehe tu na kuachana naye.
Vitu vilishaondoka zamani wanakuja kusema sasa kua wataviondoa.Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), mia tano (500), elfu moja (1000), elfu mbili (2000), elfu tano (5000), na elfu kumi (10000) za matoleo ya mwaka 1985 hadi 2003, pamoja na noti ya shilingi mia tano (500) iliyotolewa mwaka 2010. Hii ni kufuatia Tangazo la Serikali Na. 858 la tarehe 11 Oktoba 2024.
Katika taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 26, 2024, na Gavana wa Benki Kuu, Emmanuel M. Tutuba, zoezi la ubadilishwaji linatarajiwa kuanza tarehe 06 Januari 2025 hadi tarehe 05 Aprili 2025. Badiliko hili litafanyika kupitia ofisi zote za Benki Kuu na benki za biashara, ambapo wananchi watapewa malipo yenye thamani sawasawa na kiasi kitakachowasilishwa.
Aidha, matumizi ya noti hizo yatafikia ukomo wa kuwa fedha halali za Tanzania kuanzia tarehe 06 Aprili 2025. Baada ya tarehe hiyo, mtu yeyote au taasisi yoyote inayomiliki fedha hizo haitaruhusiwa kuzitumia kufanya malipo popote duniani. Vilevile, benki zote hazitaruhusiwa kulipa wala kupokea amana au maombi ya kubadilisha noti zilizoondolewa kwenye mzunguko.
Kufuatia zoezi hilo, Benki Kuu inatoa rai kwa wananchi wote wenye akiba ya noti hizo za zamani kuzibadilisha au kuziweka amana kwenye benki yoyote ndani ya kipindi kilichotolewa.
View attachment 3136008
Hapa mkuu ndo nimeelewa,Sidhani hizo noti wanazotoa ni za muda sana na nyingi zimeshapotea kwenye mzunguko kabisa labda mia tano ya noti kwa mbali ndio unaweza ibahatisha.
Nadhani wanahitimisha rasmi sasa.
We acha tu mkuu, namna wana JF wanavyoutafsiri huu uzi, inasikitisha sanaBOT nao wamezingua, ilibidi waweke na hizo picha za noti. Ona sasa inavyoleta ukakasi kwa wananchi.
Kila mtu ameanza kuweka tafsiri yake. Hapa tu ni kwa watu wenye uelewa. Tunaamini hivyo walau kila member amemaliza kidato cha 4.
Sasa kwa wakulima wetu, machinga na hawa bodaboda itakuwaje.
Uliziweka wapi?Kwaiyo hizi bilioni 20 cash nilizo iba wakati wa Nyerere si wata nishika taweza badili zote kwel .
WAache watu wapige pesa za operesheni ondoa noti za kaleKwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Isije kuwa ni mpango wa CCM kupata fedha za uchaguzi kwa kuchapisha fedha fake eti wanabadilisha noti za shilling 20! Hizo za shs. 20 zinatumika wapi?Zimbabwe? 🐼
Benki Kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), mia tano (500), elfu moja (1000), elfu mbili (2000), elfu tano (5000), na elfu kumi (10000) za matoleo ya mwaka 1985 hadi 2003, pamoja na noti ya shilingi mia tano (500) iliyotolewa mwaka 2010. Hii ni kufuatia Tangazo la Serikali Na. 858 la tarehe 11 Oktoba 2024.
Katika taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 26, 2024, na Gavana wa Benki Kuu, Emmanuel M. Tutuba, zoezi la ubadilishwaji linatarajiwa kuanza tarehe 06 Januari 2025 hadi tarehe 05 Aprili 2025. Badiliko hili litafanyika kupitia ofisi zote za Benki Kuu na benki za biashara, ambapo wananchi watapewa malipo yenye thamani sawasawa na kiasi kitakachowasilishwa.
Aidha, matumizi ya noti hizo yatafikia ukomo wa kuwa fedha halali za Tanzania kuanzia tarehe 06 Aprili 2025. Baada ya tarehe hiyo, mtu yeyote au taasisi yoyote inayomiliki fedha hizo haitaruhusiwa kuzitumia kufanya malipo popote duniani. Vilevile, benki zote hazitaruhusiwa kulipa wala kupokea amana au maombi ya kubadilisha noti zilizoondolewa kwenye mzunguko.
Kufuatia zoezi hilo, Benki Kuu inatoa rai kwa wananchi wote wenye akiba ya noti hizo za zamani kuzibadilisha au kuziweka amana kwenye benki yoyote ndani ya kipindi kilic
Kama vile kuna mipapa nguva na mijizi inatafutiwa namna ya kuhalalisha mipesa yao ya uwizi iliyo fukiwa chini, kuwekwa kwenye ndoo na uvunguni kuingia kwenye mzungungo halali vile? Afu ukivuta picha miaka yenyewe hii !!Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Punguza chuki mkuu, hizi ya habari za kubuni haziwezi kumsaidia yoyote.Zinaletwa noti zenye pocha ya Mama Abdul, Baba Abdul, Mchengelwa, Abdul kwa upande wa mbele na nyuma kumewekwa alama za Msikitini na picha ya Shehe Kipoozeo, Mazinge, Dr. Sulle bila kumsahau Mufti mkuu.
Zile picha zilizotrend mtandaoni za mama abdul akiwekwa kwenye noti na mremba mwekundu zilikuwa za kweli na walizileta makusudi kupima upepo. Zile ndio zinakuja rasmi.
Duu! Hii ndio inaitwa kufikiria nje ya boksi!Kama vile kuna mipapa nguva na mijizi inatafutiwa namna ya kuhalalisha mipesa yao ya uwizi iliyo fukiwa chini, kuwekwa kwenye ndoo na uvunguni kuingia kwenye mzungungo halali vile? Afu ukivuta picha miaka yenyewe hii !!
Sijui nimefikiri kupita kiasi?!
Nayeyuka kama kasongo mbona wewo, mombali nanga.............
Waweke kabisa picha ya mtu mwenye bonge la sigda mbele ya fedha zetu na nyuma waweke picha ya Muddy(57) akiwa anambanjua Bi. Aisha(6) 😀😀😀😀Punguza chuki mkuu, hizi ya habari za kubuni haziwezi kumsaidia yoyote.