Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa akili yake ndo imeishia hapo hapo.Sema kwamba nimekwisha. Usitu include wote sisi wengine na wachumi wa kusomea siyo kuokoteza kama wewe ambayo hujui hii logic ya kubadirish pesa
Wamweke chawa banaa😀Basi kama ni hivyo wamuondoe Twiga wamweke kenge kama nembo ya taifa.
Upigaji ..... uchaguziMaandalizi ya sarafu mpya
Kivipi wakati izo noti hazipo kabisa mtaani.Wenye fedha kwenye sandarusi wajiandae kisaikolojia.
I guess you are quite right 👍Election. We print two sets:
First set straight to BOT
2nd Set straight to CCM kept by Adul
During election you need money!
Humor
1wajiandae kwa lipi? Kuziingiza kwenye mzunguko mbona rahisi mno?Wenye fedha kwenye sandarusi wajiandae kisaikolojia.
Dah we jamaa mtunzaji sana🤣Mimi ninazo hizi ni za mwaka gani hiziView attachment 3136086
Kweli BOT waje na ufafanuzi unaoeleweka kuondoa noti za Tsh 20 ,noti za 200 ,noti za 500 kwani nani anazitumia hizo noti kwasasa? Mbona hazipo muda mrefu sana ,nani anatumia note ya 200 yenye sura ya mwinyi? Nani anatumia noti ya Tsh 20 yenye rangi ya zambarau? nani anatumia noti ya 500 yenye rangi ya kijani? Nani anatumia noti ya tsh 10 ya rangi ya kijani?Kivipi wakati izo noti hazipo kabisa mtaani.
Fafanua vizuri tuelewe wote
Apo ndio hata mm najiulizaKweli BOT waje na ufafanuzi unaoeleweka kuondoa noti za Tsh 20 ,noti za 200 ,noti za 500 kwani nani anazitumia hizo noti kwasasa? Mbona hazipo muda mrefu sana ,nani anatumia note ya 200 yenye sura ya mwinyi? Nani anatumia noti ya Tsh 20 yenye rangi ya zambarau? nani anatumia noti ya 500 yenye rangi ya kijani? Nani anatumia noti ya tsh 10 ya rangi ya kijani?
Jamaa ametisha ameweza ku sacrifice karibia elfu 16 kwa ajili ya kumbukumbu ,elfu 16 ya enzi hizo late 90's ilikuwa kubwa sana.Dah we jamaa mtunzaji sana🤣
Mkuu hivi karibuni kulivuja picha ya noti ya sh. 10,000 rangi ya kijani yenye picha ya Rais Samia.Kama hakuna msukumo wa kisiasa ni jambo jema sana.. Kinyume chake tumekwisha....
Maana si ajabu tukaletewa zenye sura za wanasiasa
mkuu hebu tueleze hiyo logicya kubadili fedhaSema kwamba nimekwisha. Usitu include wote sisi wengine na wachumi wa kusomea siyo kuokoteza kama wewe ambayo hujui hii logic ya kubadirish pesa
Wewe umeelewaje? Noti zilizopo zilizo orodheshwa hapo nyingi hazipo kwenye mzunguko tangu kitambo sana na zoezi hili wala halita athiri hizi note zilizopo sasa kwenye mzungukoWale wenye mabunda waliyoyaanda kwa Ile shughuli yetu pendwa na kuu ya 2025! Imekula kwao🤣maana kuzibadilisha zote awatoweza.
Yenye sura ya chura kiziwi kama vile mabango yaliyo nchi nzima hayatoshi wanataka mpaka kwenye pesa tumuone pia.Maandalizi ya sarafu mpya