Benki Kuu ya Tanzania kuanza kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi

Nonsense hivi kuna noti za sh 20 au 500 labda hiyo 10000 na hiyo imebadiridhwa mara ngapi what logic for
 
Wewe umeelewaje? Noti zilizopo zilizo orodheshwa hapo nyingi hazipo kwenye mzunguko tangu kitambo sana na zoezi hili wala halita athiri hizi note zilizopo sasa kwenye mzunguko


Asilimia kubwa zinazo ongelewa ni hizi na zile za zamani sana ambazo baadhi ya watu wanazo tu ndani.
 
Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Hizo noti ni zamani sana na hazipo!
 
Vitu vilishaondoka zamani wanakuja kusema sasa kua wataviondoa.

Noti za TZS 20/-, TZS 200/- na TZS 500/- zilishaondoka kitambo tu sijui hata mwaka gani.
 
Sidhani hizo noti wanazotoa ni za muda sana na nyingi zimeshapotea kwenye mzunguko kabisa labda mia tano ya noti kwa mbali ndio unaweza ibahatisha.
Nadhani wanahitimisha rasmi sasa.
Hapa mkuu ndo nimeelewa,
We acha tu mkuu, namna wana JF wanavyoutafsiri huu uzi, inasikitisha sana
 
Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
WAache watu wapige pesa za operesheni ondoa noti za kale
 
Marais waislam na pesa za Tanzania hawajambo, kila jambo lina mwisho acha inyeshe
 
Naona wanaochimbia hela chini wamefikiwa
 
Kwani noti za shilingi 20 na 200 zilikuwepo kwenye mzunguko? Mbona hazijaonekana muda mrefu sana? Au sijalielewa tangazo? Aliye elewa anisaidie ufafanuzi tafadhali.
Kama vile kuna mipapa nguva na mijizi inatafutiwa namna ya kuhalalisha mipesa yao ya uwizi iliyo fukiwa chini, kuwekwa kwenye ndoo na uvunguni kuingia kwenye mzungungo halali vile? Afu ukivuta picha miaka yenyewe hii !!

Sijui nimefikiri kupita kiasi?!

Nayeyuka kama kasongo mbona wewo, mombali nanga.............
 
Punguza chuki mkuu, hizi ya habari za kubuni haziwezi kumsaidia yoyote.
 
Tuwekee tupicha twa hizo noti zitakazotolewa kwenye mzunguko, ili kama tunazo tujiandae kuzibadilisha.
 
Duu! Hii ndio inaitwa kufikiria nje ya boksi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…