jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Yaani nahitaji pesa nikanunue passo ya milioni 8 unaninyima ela unaenda kuninunulia hiyo passo na kunidai milioni 10 alafu unaniambia hakuna riba?? Natakiwa niwe mbumbumbu kwanza ndio niamini huo upuuzi, kitu bila riba nipe milioni kumi nikurudishie milioni kumi kwa muda wa miaka mitano, hiyo ndiyo interest free, out of that ni utapeli kama utapeli mwingine
Ni utapeli kama matapeli wengine,tatizo hawa jamaa wanataka kulazimisha uhafidhina na uprimitivu wa mudi katika ulimwengu wa sasa lazima watafeli tu,kukopesha bila riba inawezekana kwa watu binafs ila taasisi haiwezi survive bila riba zaidi ya unafaiki na kucheza na akili za wajinga wao. Riba ipo palepale.