na ofcourse principles za kiuchumi alizoleta mohamad ni za uongo, utaendeshaje bank, utalipate mishahara, na gharama zingnie bila kupata pesa ya ziada? na kama ipo wasiseme hakuna riba, waseme tu kuna riba. wenzao waarabu kwasababu wana pesa hua wanazifanya hizo bank kuwa ni services kwa raia wakiona inataka kudondoka wanaipush kwa pesa zao, hawa sasa wameingia kichwa kichwa, bank inafilisika, hakuna wa kulaumu kwasababu uongozi woooote ni wa waislam na wafanyakazi wooote ni waislam, wanahangaika kutafuta wapi watamwingiza mgalatia hawapaoni, wamebaki kutapatapa. jidhihirisheni mumtetee muanzisha dini wenu kuwa principles zake za uchumi zinafanya kazi kwa kupitia bank yenu, mkishindwa mrudi mumpokeee Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yenu kwasababu mtajua mliingia cha kike. mlidanganywa kuwepo kwenye hiyo dini. jiteteeni sasa tuwaone.
enzi za Eliya Mtishibi kule Israel, aliwaita hivyo hivyo muombe moto ushuke, mliomba hadi mkajikatakata hakuna moto ulishuka, Eliya alipomwomba Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, Mungu wa Israel ambaye ndiye aliyewaumba hata ninyi na anapenda mumrudie hata leo, moto ulishuka ukalamba mawe hadi maji. kwahiyo huko kushindwa kwenu sio kwa mara ya kwanza, mtaendelea kushindwa milele mbele ya wale wanaomwambini Mungu wa Kweli, Mungu wa Israel.