Benki ya Amana inahujumiwa


Ni utapeli kama matapeli wengine,tatizo hawa jamaa wanataka kulazimisha uhafidhina na uprimitivu wa mudi katika ulimwengu wa sasa lazima watafeli tu,kukopesha bila riba inawezekana kwa watu binafs ila taasisi haiwezi survive bila riba zaidi ya unafaiki na kucheza na akili za wajinga wao. Riba ipo palepale.
 
Ni uongo. Bank ya Amana Asilimia 98 ya waajiriwa ni Waislamu. Umekuja hapa ichafua kwa maslahi ya nani wewe? Umetumwa?
 
Mimi naongelea hisa sio wafanya kazi ata pale amana benki wanao ujumu pale sio waislamu, katika top executive huwezi kukuta mwenye dini nyingine zaidi ya wakatoliki wale walio bobea kabisa.
Nitajie watatu tu. Uache uongo dogo.
 
Hatutaki huruma ya raisi.Ni wajibu wake kulinda vitega uchumi na kuzui mtafaruki wa wateja wa benki.Apeleke watu wataalamu wakafuatilie au awaite ikulu kuuliza kuhusu tetesi hizi na awashauri.
Huku ni kudeka na kutaka huruma. Rais anahusikaje na Bank ambayo si ya Serikali? Kwani taasisi haina organ ya check and balance? Acheni upumbavu wa kutaka kila kitu Rais ahusike. Wewe hata ukigombana na mumeo au mkeo utataka Rais atume mtu kufuatilia. Rais ana mambo mengi ya msingi.
 
Nioneshe katika hizi 5 hapa ipi ya kiislamu

 
Amana sina hamu nayo. Benki ya kipuuzi yenye wafanyakazi wapuuzi hakuna mfano. Wanapoteza wateja wenyewe.
Haitashindwa kwa sera.Uislamu utabaki ndio mfumo bora wa masuala ya kifedha mpaka kiama.
Amana wanahujumiwa kimfumo na wameingia watu wasioweza kujitetea na wasiosikiliza ushauri.Hili limekuwa ni furaha kwa maadui wa uislamu ambao tangu mwanzo hawakutaka mfumo huu wa kibenki uingie nchini..
Ndani ya jukwaa hili la JF kuna uzi mrefu uliojaa malumbano ya kuingia mfumo wa benki ya kiislamu Tanzania.
Namna wanavyopoteza wateja kizembe ni kama vile masuala nyeti yanayohusu wateja kuachiwa watoto wanaokwenda field kuyashungulikia.
Leo unaweza ukapigiwa simu kuhusu akaunti yako kuna jambo fulani limeelekezwa na BOT na ukaamua kulitii.Kesho yake anakupigia mtoto mwengine kuulizia na kuelekeza kitu tofauti.Mimi nikaona pamoja na uzalendo wangu sitaki ujinga huo.Na ukiamua kukaa kimya hakuna anayekuuliza mbona hivyo.
Kuna masuala nyeti ya uhai wa kibenki hayatakiwi kuguswa na watoto wa mihemko ya Zuchu.
 
kukopesha bila riba inawezekana kwa watu binafs ila taasisi haiwezi survive bila riba
It seems hauna uelewa kabisa na masuala ya benki hasa islamic banking!! Kuna mapato yanayopatikana kuendesha benki not necessarily mpaka iitwe "riba"!! na pia hiyo huduma ipo benki hata za secular kama CRDB au NMB na zinaingiza faida sana tu sababu wafayabiashara wakubwa wote wana channel pesa zao huko kufanya investments!!
 
@MZAWA JF hiyo ndio biashara sasa ! Riba ni Hela kwa Hela umechukua Milion 8 unarudisha 10 ila gari umeletewa tu we utajua mwenyewe imenunuliwa bei gani. Ila unalipa kwa instalmente mpaka ifike Milion 10.!
 

Una akili ndogo sana hasa huo mfano wa md wa crdb,hapa inshu ni uongo na unafiki wa kusema hizo benki hazitozi riba,riba ipo sana na wanachukua ila wameibadili jina.
 
@MZAWA JF hiyo ndio biashara sasa ! Riba ni Hela kwa Hela umechukua Milion 8 unarudisha 10 ila gari umeletewa tu we utajua mwenyewe imenunuliwa bei gani. Ila unalipa kwa instalmente mpaka ifike Milion 10.!
Benki inafanya biashara ya magari? Ni financial institution au car dealer? Kwa nn iseme imenikopesha pesa bila riba isiseme imenikopesha gari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…