Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais yeye si anatoa Elimu bila malipo? Huko kwenye Ada ni Mapenzi tu ya mzazi wa mtotohii ni indicator ya umaskini uliopo Tanzania. kwamba watu hawana uhakika wa kulipa hadi karo za wanafunzi.
Halafu rais anasifiwa kwenye kila kitu hadi ujinga
Hapana, utachangamka kwenye rejesho🤣🤣Watatulemaza sasa,
Embu achaneni na basic hakuna matatizo ya kimafilia kuna misiba imetokeaa kuna kuuguliwa au kuugua kwa muda mrefu na familia inakuangalia wewe embu acheni dharau ni jambo la mudaDalili za umaskin ni kuenea kwa mikopo ya kila.namna
95% wanao kopa hyo mikopo ni watumish wa umma kwamba basic zao sio stamilivu
Na atakapo ona gar yake inataka kuuzwa ili alipe mkopoHapana, utachangamka kwenye rejesho🤣🤣
USA, EUROPE wana hili suala kitambo sana, so wao ni maskini kitambo? Hii ndio shida ya kutofanya utafiti. Umeandika kama unatafuna mahindi ya kukaanga ya moto huku umekalia spoko ya baiskeli.hii ni indicator ya umaskini uliopo Tanzania. kwamba watu hawana uhakika wa kulipa hadi karo za wanafunzi.
Halafu rais anasifiwa kwenye kila kitu hadi ujinga
Silioni hilo. Sanasana inachochea rushwa na ubadhilifu serikalini kutokana na msongo wa madeni unaowakabili watumishi.Some how wanakuwa wamekupunguzia mzigo lakini
Hawa ndio masikini wa jf uku wakijifanya matajiri ukienda anapoishi ana lala na kuku ndani akiamka mali zake zote anazionaUSA, EUROPE wana hili suala kitambo sana, so wao ni maskini kitambo? Hii ndio shida ya kutofanya utafiti. Umeandika kama unatafuna mahindi ya kukaanga ya moto huku umekalia spoko ya baiskeli.
kwahy bibie kakuvutia nikupe nambqAnzisheni na mikopo kwaajili ya madhumuni mengine piaView attachment 3195153
Bila madeni huwez fanya maendeleoSilioni hilo. Sanasana inachochea rushwa na ubadhilifu serikalini kutokana na msongo wa madeni unaowakabili watumishi.
🤣🤣🤣 umenikumbusha ule usemi kama wewe mali zako hazilali nje wewe sio tajiri.Hawa ndio masikini wa jf uku wakijifanya matajiri ukienda anapoishi ana lala na kuku ndani akiamka mali zake zote anaziona
ndo michezo yako nini kukalia spokoUSA, EUROPE wana hili suala kitambo sana, so wao ni maskini kitambo? Hii ndio shida ya kutofanya utafiti. Umeandika kama unatafuna mahindi ya kukaanga ya moto huku umekalia spoko ya baiskeli.
Inaamaana salary yako c vumiliv uwez ku save wala ku spends wew ni kuishi tuu na kulpa billsEmbu achaneni na basic hakuna matatizo ya kimafilia kuna misiba imetokeaa kuna kuuguliwa au kuugua kwa muda mrefu na familia inakuangalia wewe embu acheni dharau ni jambo la muda
Ndio ukweli uho kaka🤣🤣🤣 umenikumbusha ule usemi kama wewe mali zako hazilali nje wewe sio tajiri.
Nchi zenyewe zinakopa zikiwemo marekani na ulaya sembuse mtu binafsiTatizo la hii mikopo unaishi maisha ambayo si yako, kama nimeshindwa kukusanya hela ya ada 6m ya wanangu kwa mwaka je nikikopa nitaikusanyaje niwarudishie bank na riba juu yake.
Dawa ya wazazi wenzangu ukishimdwa kulipa ada mwenyewe basi hamisha mtoto akasome kayumba fc, si dhambi.
Dalili za umaskin ni kuenea kwa mikopo ya kila.namna
95% wanao kopa hyo mikopo ni watumish wa umma kwamba basic zao sio
Kwanini mnawaonea watumishi kana kwamba wao ndio wenye shida sana nchi hii,kwani kabla ya mkopo rushwa haikuwepo? Na mbona ipo mikopo mingi tu? Huu mkopo ni maalumu kwa watumishi au wananchi wote tena hata kama si mteja wa benki, umesoma andiko vizuri?Silioni hilo. Sanasana inachochea rushwa na ubadhilifu serikalini kutokana na msongo wa madeni unaowakabili watumishi.
Ni kweli kuna ku save then kuna mambo yanapo ingiliana unatumia akiba inapofika mda unaona akiba haitosh what next?Inaamaana salary yako c vumiliv uwez ku save wala ku spends wew ni kuishi tuu na kulpa mimi
Mimi n mtu.mish pia inabd tuwaz nje ya box
Mh riba mlimaaaHapana, utachangamka kwenye rejesho🤣🤣