Dickson mwaipopo
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 481
- 455
kwan kuvamia mpaka wakupe taarifa!! au??Imevamiwa sa ngap make me nmetoka mbagala mda sio mrefu.. cjaona dalili yoyote ya tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan kuvamia mpaka wakupe taarifa!! au??Imevamiwa sa ngap make me nmetoka mbagala mda sio mrefu.. cjaona dalili yoyote ya tofauti
UKUMBUKE NDANI YA BANK KUNA RAIA WENGIDaah...hii habari mbaya. Polisi waonyeshe weledi wao hapo. Asichomoke hata mmoja
Nmeuliza 7bu. Me nafanyia kazi mbagala na nmetoka mda sio mrefu..ndo maana nmeulza,, 7bu na mtoa taarifa hajatwambia chanzo km kapenyezewa na jambaz au mfanyakaz wa bankkwan kuvamia mpaka wakupe taarifa!! au??
Hawawezi kuwa na hiyo akili kung'amua logic kama hizo na ndiyo maana fani yao ni majambazitabia mbaya sana sababu ukiwa na silaha hata haina haja ya kuua sababu kuona silaha tu wanaogopa
umesema jambo la maana sana, haiwezekani wapiga deal wa BOT watuibie pesa zetu kwa style ya kutoa mishahara kwa majina ya wafanyakazi hewa. Bora majambazi yavamie pale tujue pesa huwa zinaibwa na majambazi yanayotumia silaha kuliko huu uwizi wa karatasi na penDuh.. mbagala sio mchezo. Juz juz access bank leo crdb. Waende basi na BOT waibe hta ile mishahara ya wafanyakazi hewa
Benki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
Hiyo sasa hatari, wasije wakaamua kuua wateja waluomo ndaniBenki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
basi na wao wakikamtwa wauwawe tu aiseeHawawezi kuwa na hiyo akili kung'amua logic kama hizo na ndiyo maana fani yao ni majambazi
kwani password yako wanayo?Mimi tawi langu ndiyo hapo crdb mbagala wakiingia kwenye akaunti yangu watachukua hela yangu yote
Iwe kama ulivyonenahii ni taarifa ya uongo. hakuna majambazi waliovamia isipokua nimeambiwa walikamatwa kabla ya kuvamia.source ndugu yangu anafanya biashara hapo opposite na benki.