Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Tetesi: Benki ya CRDB yanusurika kuporwa

Watu wana force king kupata pesa!sahvi watu wakijua Una mpunga watu wanakutimbia ili wachkue fweza....hali ni ya hatari Sana
Serikali na mamlaka husika wake chino na kuangalia nini cha kufanya ili kupunguza gdhabu kutoka kwa hawa jamaa.....
 
Kama itakuwa ni kweli,itakuwa ni mtihani kwa Vyombo vya ulinzi na usalama na Sekta za kibenki.
Benki kama ina kamera za ulinzi,zitumike kusoma tukio lilotokea.
Na Serikali nayo inatakiwa kulaumiwa,kwani imeendelea kuacha makazi holela na kutokuwa na mpangilio wa miji.
Siku chache zilizopita uvamizi kwenye tawi la benki umefanyika Mbagala.inaonekana wahalifu wanajificha katika makazi ambayo hayajapimwa.
Vile vile CRDB huwa wanatumia ulinzi wa askari wetu wa Polisi,leo kama tukio limetokea na askari wapo nje,sasa itabidi askari wabadili mbinu za ulinzi.
 
ila mi nipo huku mbagala kilungule tumesikia sauti za bastola kama mara tatu,mpaka mwanangu akawahi kurudi shule wameambiwa rudini mana si shwari.
 
dah hv kama wasipotoka hao majambazi polisi watachukua hatua gn, mana kwenye muv huwa naona askari mmoja anajisalimisha nakuacha silaha zote nje then anachoma ndani.
 
Ila majambazi yanafanya dhambi kubwa sana kuua watu, bank zote zina insurance, wakiiba fedha bank zinarudishiwa fedha sasa kwa nini watoe uhai wa mtu wakati uhai auna insurance????????????? Aaaaahhhh mikaka jambazi akili haina kabisa
 
ila mi nipo huku mbagala kilungule tumesikia sauti za bastola kama mara tatu,mpaka mwanangu akawahi kurudi shule wameambiwa rudini mana si shwari.
Mwenye habari za uhakika atuhabarishe jamani, wenginetuna ndugu zetu hawapokei simu na humu wengine mnasema ni uzushi wengine mnasema kweli
 
Ila majambazi yanafanya dhambi kubwa sana kuua watu, bank zote zina insurance, wakiiba fedha bank zinarudishiwa fedha sasa kwa nini watoe uhai wa mtu wakati uhai auna insurance????????????? Aaaaahhhh mikaka jambazi akili haina kabisa
majambazi ya miaka hii sijui ikoje.. miaka ya nyuma kidogo wanapiga tukio na wanasepa kimya kimya
 
dah hv kama wasipotoka hao majambazi polisi watachukua hatua gn, mana kwenye muv huwa naona askari mmoja anajisalimisha nakuacha silaha zote nje then anachoma ndani.
ikitokea hali ya namha hiyo kitu ambacho huwa kinafanywa ni kupiga bomu la machoki ndani au bomu lenye kuchosha wote waliomu kwa muda na hapo askari hutumia nafas hiyo kuokoa au kuna watu wa CRT wanaweza wakaingia au kumua jambazi bila yeye kujua..snapers ndo kazi yao hapo sasa..jambazi anackncetrate kuangalia askari huku snaper akiwa anamtafutia target na huwa hakosi
 
Mwenye habari za uhakika atuhabarishe jamani, wenginetuna ndugu zetu hawapokei simu na humu wengine mnasema ni uzushi wengine mnasema kweli
Najaribu kuangalia id ya mtu aliyeleta habari hii hapa na kuamini kuwa yaweza kuwa kweli!
 
Kama itakuwa ni kweli,itakuwa ni mtihani kwa Vyombo vya ulinzi na usalama na Sekta za kibenki.
Benki kama ina kamera za ulinzi,zitumike kusoma tukio lilotokea.
Na Serikali nayo inatakiwa kulaumiwa,kwani imeendelea kuacha makazi holela na kutokuwa na mpangilio wa miji.
Siku chache zilizopita uvamizi kwenye tawi la benki umefanyika Mbagala.inaonekana wahalifu wanajificha katika makazi ambayo hayajapimwa.

Vile vile CRDB huwa wanatumia ulinzi wa askari wetu wa Polisi,leo kama tukio limetokea na askari wapo nje,sasa itabidi askari wabadili mbinu za ulinzi.
Mkuu rsvp, ulichoongea wengi huenda wasikuelewe lakini ndicho kilicho cha msingi kuliko vyote.
Wazungu wanasema 'failing to plan is planing to fail'. Kwa mwenye kutumia akili anaweza kuelewa hii kauli ina maana gani kwetu maana we've already failed to plan kwa kiasi ambacho ni cha juu sana kupita hata satandards zinazokubalika kibinadamu. Sasa matokeo yake ni mabaya sana na watakaobahatika kusalia watashuhudia haya!
 
Back
Top Bottom