Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Hatukusamehewa wakati wa Kikwete.Msiogope, mtasamehewa madeni kama mlivyosamehewa enzi zile za Kikwete mkishaonyesha mnafanya economic reforms za IMF na World Bank.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatukusamehewa wakati wa Kikwete.Msiogope, mtasamehewa madeni kama mlivyosamehewa enzi zile za Kikwete mkishaonyesha mnafanya economic reforms za IMF na World Bank.
Tuliyasema humu tukaitwa Sukuma gang,kuwa tunamwonea Mama wivu,Sasa harm imeisha anza kulia,Sijui hitter wa mama wanamaoni gani, nakumbuka Magufuli alikuwa akikataa mikopo hii ya kijingajinga,Tathmnini ya ufuatiliaji wa deni la Tanzania uliofanywa na WB unasema Tanzania iko kwenye hatari ya kukumbwa na debt stress ya kiwango cha moderate.
Hii ni alarm kwa serikali kupunguza Kukopa lakini pia tujiandae kwa Kodi zaidi maana miradi lazima iishe iwe kwa mikopo au kwa Kodi za ndani .
View attachment 2135548
View attachment 2135549
Haina haja ya kupotosha,hiyo debt stress haitokani na mikopo ya Samia bali mikopo ya Mwendazake aliyochukua kwa riba kubwa na mda mfupi, yaani mikopo ya kibiashara ndiyo imewahi kuiva.Tuliyasema humu tukaitwa Sukuma gang,kuwa tunamwonea Mama wivu,Sasa harm imeisha anza kulia,Sijui hitter wa mama wanamaoni gani, nakumbuka Magufuli alikuwa akikataa mikopo hii ya kijingajinga, eti Mtu anakopa matrillion Kwa ajili ya kugeuza miji mitatu kuwa green na kujenga madalasa,kisa kuna masharit nafuu,ni ujinga wa kutotumia akili vizuri, kwenye kujenga madalasa hata angeliwapiga mkwala watendaji Wake wakuu wa mikoa na wilaya haya madalasa yangejengwa tu, Maana kwenye alimashauli kuna ela nyingi zinakusanywa na kuliwa tu.tabu rais na Watanzania tunapenda mserereko tunataka kila kitu kifanywe na mzungu.
Akili zipi? Kwa hali ya Sasa mjiandae kukabwa kwenye Kodi maana hii mikopo iliyoiva ni ya Mwendazake na nyie waimba pambio wake ,ndio mumetufikisha hapa.Akili zimeanza kurudi kwako naona😂
Subiri kibano cha Kodi,mtalipa tuu.Bibi tozo madeni yakimzidia tutamshauri aiweke Unguja na viunga vyake rehani ili tuweze kustahimili hiyo hali
Alisemaje Ndugai? 😄😄..Kwamba pesa ilikopa mwaka Jana kwa mda mrefu inatakiwa kulipwa mwaka ujao au?taratibu achosema Ndugai kinakwenda kutokea
Madelu kurudishwa pale na februari wanakomoa sasa.Madilu atakuja na mapambio na nashauri subiri.....
Tutaiuza Zanzibar kupata pesa ya kulipa hiyo pesa.Subiri kibano cha Kodi,mtalipa tuu.
Sasa pale serikali ya ccm nani unayemuona anakaribia kuwa na akili kubwa ?Serikali ijikite kutafuta grants au soft loans kukamilisha strategic projects kama SGR, stiglaz ambazo zinaweza kuwa na multiplier effect kwenye uchumi, hapa haitakiwi siasa tena bali akili kubwa............lazima waje na debt distress mitigation strategies ambazo hazitawaumiza wananchi kwa kuwawekea tozo zaidi.
Cha msingi mlipe,hata muuze Figo au kende zenu.Tutaiuza Zanzibar kupata pesa ya kulipa hiyo pesa.
Tatizo mikopo inachukuliwa kinyemela, hatuna wawakilishi wa wananchi bungeni, matokeo yake wanajichotea pesa watakavyoTathmnini ya ufuatiliaji wa deni la Tanzania uliofanywa na WB unasema Tanzania iko kwenye hatari ya kukumbwa na debt stress ya kiwango cha moderate.
Hii ni alarm kwa serikali kupunguza Kukopa lakini pia tujiandae kwa Kodi zaidi maana miradi lazima iishe iwe kwa mikopo au kwa Kodi za ndani .
View attachment 2135548
View attachment 2135549
Atakuwa prof. madelu mchumi daraja la kwanza...........Sasa pale serikali ya ccm nani unayemuona anakaribia kuwa na akili kubwa ?
Hakuna mkopo wa kinyemela kwa SSH,mikopo ya kinyemela ilichujukiwa na Jiwe na ndio hii inaleta shida.Tatizo mikopo inachukuliwa kinyemela, hatuna wawakilishi wa wananchi bungeni, matokeo yake wanajichotea pesa watakavyo
Ni kwa ajili ya Uviko 19,sio kwa ajili nyingine yoyote.Shida ni lugha ya malikia imewapita pembeni.Tathmnini ya ufuatiliaji wa deni la Tanzania uliofanywa na WB unasema Tanzania iko kwenye hatari ya kukumbwa na debt stress ya kiwango cha moderate.
Hii ni alarm kwa serikali kupunguza Kukopa lakini pia tujiandae kwa Kodi zaidi maana miradi lazima iishe iwe kwa mikopo au kwa Kodi za ndani .
View attachment 2135548
View attachment 2135549
Lugha ya malikia imewapita pembeni,wameandika,imesababishwa na kushuka kwa utalii kutokana na uviko 19.Huku bibi akiendelea kuchukua vihela vya mikopo kila akienda kwenye utalii wake
hahahahahahSASHA anasemaje?View attachment 2135553