Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

Lugha ya malikia imewapita pembeni,tatizo ni kupunguwa kwa watalii,kutokana na uviko 19.
Mbona hatukuona Mambo hayo kwenye kipindi kigumu sana cha COVID ambako Nchi zote zilijifungia,atukusikia honyo kama hili kutoka WB, Sanasana walitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati, Juzi Juzi tu mlikuwa mnamtukana Magufuli kiwa alikuwa amefunga Nchi,Samia ameingia ameifunga, sasahivi watalii wanamiminika Kama maji, sasahivi mnasema watalii wamepungua kisa Covid 🤣🤣 Tanzania kuna maajabi.Tulisema humu hamwezi kumfuta Magufuli, sanasana mkitaka kumfuta mnakuta mkiaribikiwa.Magufuli alikuwa Mtu wa Kazi Sio maneno maneno, Sio rais wenu Yeye kazi ni kizulura toka ashike madaraka
 
Watanzania wengi lugha ya malikia imewapita pembeni,imeandikwa,kupunguwa kwa watalii kulikosababishwa na Uviko 19.Neno 'exacerbate',(bad situation),limewachanganya.
 
Tunajua tu kibaya anapewa Magufuli,kizuri anapewa Samia lakini sisi Watanganyika tumeisha kuwa na akili za kupambanua kati ya pumba na mchele.WB sio wajinga kiasi hicho, mbona hatujawai kusikia wanatoa ilo onyo Wakati wa Magufuli?tena pamoja na kukopa hayo mabenki watangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati, Magufuli alokopa kwa akili na akaweza kwenye miundombinu ya kunyanyua uchumi na alijitaidi kiziba mianya mingi ya uvujaji wa mapato, Sasahivi Samia kaisha kopa matrillion ya shilingi hayaonekani yamefanya Kazi gani, sanasana tunaambiwa yamejenga madalasa tu kitu ambocho ni ujinga mtupu, kukopa trion eti kwa ajili ya vyumba vya madarasa, Wakati hiyo kazi ni kazi za wakuu wa mikoa na wilaya,kitu ambacho kilifanywa na Magufuli alijenga vituo vya afya,masoko,na hayo madalasa, nakumbuka wakati Magufuli anachukua madaraka alikuta tatizo la madawati na upungufu wa vitanda Muhimbili na maospital mengine, atukuona akienda kukopa alipiga mkwala watendaji Wake hayo matatizo yakawa historia,Samia wenu anakopa matrillion alafu anazimalizia kwenye safari, Tanzania atuwezi piga hatua chini ya Samia, kama hatabadirika,Kama unabisha subiri uone amalize miaka ya mimne ya uongozi,
Ni ukweli mchungu,hakuna mkopo wa Samia ulioiva ,mikopo yake yote ni ya mda mrefu .
 
Mbona hatukuona Mambo hayo kwenye kipindi kigumu sana cha COVID ambako Nchi zote zilijifungia,atukusikia honyo kama hili kutoka WB, Sanasana walitangaza Tanzania kuingia uchumi wa kati, Juzi Juzi tu mlikuwa mnamtukana Magufuli kiwa alikuwa amefunga Nchi,Samia ameingia ameifunga, sasahivi watalii wanamiminika Kama maji, sasahivi mnasema watalii wamepungua kisa Covid [emoji1787][emoji1787] Tanzania kuna maajabi.Tulisema humu hamwezi kumfuta Magufuli, sanasana mkitaka kumfuta mnakuta mkiaribikiwa.Magufuli alikuwa Mtu wa Kazi Sio maneno maneno, Sio rais wenu Yeye kazi ni kizulura toka ashike madaraka
Pingana na ripoti,ndio ilivyoandikwa.Neno exacerbate(bad situation),ndio llimewashinda kuelewa.imeandikwa,imesababishwa na kupunguwa watalii kutokana na Uviko 19.Ripoti ya WB,sasa wewe ipinge WB,waambie sio hivyo.
 
Chifu akienda kuzurura kuponda raha na kufanya shopping kisha akirudi na maneno kuwa tumepata vijipesa misukule utaisikia mama anaupiga mwingi
 
Wakati huo walioko watakuwa wanaitwa wastaafu wasioguswa. Ipo siku atakuja Raisi kichaa na Bunge la vichaa watakaotengua Kinga za viongozi zisizo na tija.
Akija atakayetengua hizo kinga huyo sio kichaa bali Mzalendo.
 
Nyerere alikuwa anasistiza sana dhana ya kujitegemea akisema "...kujitawala ni kujitegemea.

Kujitawala kwa kweli hakuwezekani iwapo taifa moja linategemea misaada na mikopo kutoka taifa jingine kwa maendeleo yake....." Nakumbuka sana maneno hayo.

Ila kupitia sera zake, maisha yalikuwa magumu hadi tulipopata misaada na mikopo ya IMFna World bank wakati wa mwinyi. Kuanzia hapo watanzania hatuamini dhana ya kujitegemea tena, tumedumaza akili zetu kuwa wa kutegemea misaada na mikopo tu.

Kuna wakati wanasiasa hufikia kusema tusifanye mambo fulani kwa vile yatatukosesha misaada. Nakumbuka tuliwahi kuwa na rais akisema kuwa kila anaposafiri hurudi na kibaba cha misaada na mikopo.

Bila kukwamua mawazo yetu kuelekeza kujitegemea tukijua kuwa tunatakiwa tutoe jasho letu kupata maendeleo, tutabaki wa kuwa omba omba tu.

Tabia ya watanzania ya kutaka pesa za mkatomkato tu kwa kupitia misheni town inapozidi kubarikiwa na serikali, ujue nchi inakuwa inaingia kwenye korongo.
Hayati JPM aliacha miradi mingi ikiwa ipo nusu, haijamaliziwa. Na watanzania kila kitu kwao ni malalamiko tu. Zimekuja tozo wamelalamika sana tu wakisahau yale ni mapato ya ndani.

Tunaingiza siasa katika kila kinachofanywa na serikali. Maendeleo ni kujinyima siku zote.
 
Hili swala lilipigiwa kelele sana,watu wakaliona km masihara vile
 
Hakuna mkopo wa kinyemela kwa SSH,mikopo ya kinyemela ilichujukiwa na Jiwe na ndio hii inaleta shida.

Mikopo inapitishwa Bungeni na inaridhiwa na Bunge, Serikali ya SSH hawakopi Nje ya bajeti.
Chuki kwa jpm haitokusaidia kitu..huyo amaekwenda hatorudi tena..tujikite sasa kwenye hii the so called awamu ya sita..huoni kama ni ngozi wamekutwa nayo..hata huyo sa100 na wenzaki si ndio waliokuwepo kwenye hiyo serikali ya jpm..hapa hakuna kukwepa lawama wawajibike kulisemea hili.

#MaendeleoHayanaChama
 
Duh.......na Putin ndio ataharibu kabisa nguvu ya ulipaji madeni.

Dr Mwigullu Nchemba ndio katupandisha nafasi hadi moderate!
johnthebaptist kuna siku nilihudhuria mjadala wa zoom kulikuwa na Governor wa BOT pamoja na prof mmoja toka udsm, yaani waliongea pumba mno mpaka nikasema tz iko na kazi
 
Tatizo la watanzania wengi,lugha ya malikia I inawapa tabu, ripoti ya WB,iko wazi kabisa,imeandika,kupunguwa kwa watalii,kulikosababishwa na Uviko 19.
Manake pato tulilitegemea kupitia watalii lilipotea ndio mana tukaenda kukopa...so bado tuko mule mule kwenye mikopo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nyerere alikuwa anasistiza sana dhana ya kujitegemea akisema "...kujitawala ni kujitegemea.

Kujitawala kwa kweli hakuwezekani iwapo taifa moja linategemea misaada na mikopo kutoka taifa jingine kwa maendeleo yake....." Nakumbuka sana maneno hayo.

Ila kupitia sera zake, maisha yalikuwa magumu hadi tulipopata misaada na mikopo ya IMFna World bank wakati wa mwinyi. Kuanzia hapo watanzania hatuamini dhana ya kujitegemea tena, tumedumaza akili zetu kuwa wa kutegemea misaada na mikopo tu.

Kuna wakati wanasiasa hufikia kusema tusifanye mambo fulani kwa vile yatatukosesha misaada. Nakumbuka tuliwahi kuwa na rais akisema kuwa kila anaposafiri hurudi na kibaba cha misaada na mikopo.

Bila kukwamua mawazo yetu kuelekeza kujitegemea tukijua kuwa tunatakiwa tutoe jasho letu kupata maendeleo, tutabaki wa kuwa omba omba tu.

Tabia ya watanzania ya kutaka pesa za mkatomkato tu kwa kupitia misheni town inapozidi kubarikiwa na serikali, ujue nchi inakuwa inaingia kwenye korongo.
Utawala upi wa nyerere uliojitegemea!?....pekua vizuri makabrasha yako,huenda ndiyo nchi iliyokua ikipewa feddha kuliko nchi yoyote afrika
 
Hakuna mkopo wa kinyemela kwa SSH,mikopo ya kinyemela ilichujukiwa na Jiwe na ndio hii inaleta shida.

Mikopo inapitishwa Bungeni na inaridhiwa na Bunge, Serikali ya SSH hawakopi Nje ya bajeti.
Ngoja nikuulize hili, bunge limepitisha tukope kiasi gani?
 
Back
Top Bottom