SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Angepeleka Chato kuweka flyover. Kama ameweka taa ili punda zivuke angeshindwa kuweka flyoverHii hela ingetolewa wakati wa jiwe angekula yote na majambazi wenzake akina Sabaya, Mnyeti, Kakoko na Bashite