Angepeleka Chato kuweka flyover. Kama ameweka taa ili punda zivuke angeshindwa kuweka flyoverHii hela ingetolewa wakati wa jiwe angekula yote na majambazi wenzake akina Sabaya, Mnyeti, Kakoko na Bashite
Jambo la kushangaza kuna watu wanapiga mbinja na kushangilia nchi kujijazia madeni kwa vitu visivyo na tija.Wamekopa trillion 2 kwa miradi ya kipuuzi kabisa.
Miradi yote hamna hata mmoja unaoiwezesha nchi kujitegemea.
Sanaa,,iyo fedha ingetoka kipindi cha magufuli angehamrisha iwekwe kwenye account zake binafsiHii hela ingetolewa wakati wa jiwe angekula yote na majambazi wenzake akina Sabaya, Mnyeti, Kakoko na Bashite
Mbona shetani Ngosha alikuwa anakopa hela na kuishia kuweka kwenye account zake binafsi.Jambo la kushangaza kuna watu wanapiga mbinja na kushangilia nchi kujijazia madeni kwa vitu visivyo na tija.
Miradi hata haina umuhimu wa kukopa mapesa yote hayo,Kwani ni lini tuliacha kutembeza bakuli mzee?
Pambana naye kabisa uhakikishe uchaguzi wa 2025 hapiti bila kupingwa.Mbona shetani Ngosha alikuwa anakopa hela na kuishia kuweka kwenye account zake binafsi.
Dikteta alikuwa jambazi wa Mali za umma
We nae sijui mlevi?Mbona shetani Ngosha alikuwa anakopa hela
Sanaa,,iyo fedha ingetoka kipindi cha magufuli angehamrisha iwekwe kwenye account zake binafsi
Kwenye mashitaka hilo halipo mzee babaupuuzi wa sabaya kuitokomeza chadema hai.
Kwenye mashitaka hilo halipo mzee baba
Kumbe na wewe umeona eh?Wamekopa trillion 2 kwa miradi ya kipuuzi kabisa.
Miradi yote hamna hata mmoja unaoiwezesha nchi kujitegemea.
Nyinyi mabinti mbona Bado mnamsifia MfuWe nae sijui mlevi?
Utapambana na wafu mpaka lini bwana mdogo?
Kwanza "task force" maana yake nini?Nyinyi mabinti mbona Bado mnamsifia Mfu
wewe ni inferiority complexKwanza "task force" maana yake nini?
Hilo jina tu ulilojipa linaashiria una wazimu na matatizo mengine ya kisaikolojia.
Ndio maana sishangai unapowabwatukia wafu.
I was simply being curious after having seen an imbecile on internet calling herself "task force".
Ulifikiri ukijiita "task force" utakuwa unaogopesha watu ama?
Una matatizo ya kujiamini?
Task force.... heheheewewe ni inferiority complex
Kuna saa una akili sana.Wamekopa trillion 2 kwa miradi ya kipuuzi kabisa.
Miradi yote hamna hata mmoja unaoiwezesha nchi kujitegemea.