Benki ya Dunia yaikopesha Tanzania Tsh. 2.3 trilioni


tushapigwa tayari.

si kuna uzi huku ulikuwa unauliza mzunguko wa pesa!!ndio zarudishwa sasa.
 
Wamekopa trillion 2 kwa miradi ya kipuuzi kabisa.

Miradi yote hamna hata mmoja unaoiwezesha nchi kujitegemea.
Kuna tatizo bado

Ni Sawa na kukopa pesa ukanunue suruali
 
Kimsingi hizo hela zipelekwa sehemu husika. Zitumike sehemu lengwa
Note
Juzi huyu mweguli alikubwa na kashifa kubwa ya upotevu wa hela kwenye wezera yake .je ?? Ataweza ku- manage hizo hela bila ubadhirifu kweli.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hizo white elephants projects hazichochei ajira kw wananchi wala kipato , ni upigaji Tu WA kipumbavu
 
Nimeuona huo mkopo nikabaki nashika kichwa...mabeberu hawajawahi kutaka kujitegemee...wanakupa mikopo itakayokufanya uendelee kuwategemea ili iwe rahisi kwako kupenyeza agenda zao.
Mkuu unazungumzia swala la sisi kujitegemea

Kama una ndoto hizo ktk Karne hii amka hapo usingizini
 
wala la ubakaji halipo,katika makosa yote yaliyosomwa sijui ni mangapi yanahusika na kuporwa haki raia wa kawaida.

hapo ndio utajua gia kumbwa ndio dhaifu zaidi.
Sabaya ni CCM na wanamhenyesha CCM wenzako
 
Mapato yameongezeka kidogo. Ukusanyaji ni zaidi ya 81% zamani ilikuwa chini ya 79%.
Hakuna kitu Kama hicho...hizo ni cooked figures....mwishowe mtasema na ujambazi umepungua kidogo wakati Mambo ni magumu mitaani na hakuna kutangazwa...
 
Hakuna kitu Kama hicho...hizo ni cooked figures....mwishowe mtasema na ujambazi umepungua kidogo wakati Mambo ni magumu mitaani na hakuna kutangazwa...
Zamani ndo ilikuwa coocked figure zinatolewa ndo maana hata takwimu zilidhibitiwa ili watoe wenyewe wanachotaka. Usiri mkubwa na ukatili vilificha maovu mengi sana.
 
Ukiacha kuboresha barabara za vijijini miradi iliyobaki huwezi kuona matokeo yake zitakua hela za kuliwa na wajanja. Magu asingekubali mikopo ya kubembelezewa na benki ya dunia. Hii benki ni ya kimkakati kwa mabeberu kuhakikisha nchi changa ni wadeni wa mabeberu daima.
 
Mbona shetani Ngosha alikuwa anakopa hela na kuishia kuweka kwenye account zake binafsi.

Dikteta alikuwa jambazi wa Mali za umma
Kwani account yake ilikufa? Mkachukue sasa kmaa kuna hela zisizohalalo
 
Deni la Taifa ambalo ni zaidi ya 65 trillions sasa litakuwa linakaribia 70 trillions.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…