Dhana nzima ya utawala huu ni kuwatia ujinga watu, na huyo uliyemjibu hapo ndiyo sampuli sahihi ya waTanzania wa aina hiyo.Anyamaze watu wazidi kulishwa ujinga? Boss, Karne hii bado unajivunia watu kuongozwa kama vipofu kwa kulishwa propaganda? Halafu unaandika kiswahili na kuchanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi, huku ukitetea watu waongozwe bila kujua ukweli!
Mkuu mimi sio mwanasiasa kabisa ila tu huwa sipendi upotoshaji na sijaanza tu leo ila sijawahi kuamini katika uchumi wa takwimu. Hata kuna paper nilifanya post grad ya kuhoji GDP kma ni kipimo accurate cha maendeleo ya watu. So napoona CCM imeanza propaganda eti ooh tumefika uchumi wa kati ndani ya miaka miwili mara sijui tumevuka malengo ya maendeleo inakuwa inakera kidogo maana najua haiakisi uhalisia.Kuna wakati najiuliza zitto junior nia na dhamira yako ni nini? Hata kama wewe ni mpinzani kisiasa, ni aibu kuwa na mawazo yaliyomo kwenye hoja yako hapo juu (underlined). Una maana gani kama siyo kutusi jamii, au wewe ndiye hupendi kusoma?
Kwa suala la WB kuiorodhesha Tanzania kwenye nchi zenye kiwango cha chini cha Kipato cha Kati, si jambo la kubeza, ila la kila Mtanzania, kutambua fursa zilizopo za kukuza uchumi binfasi na wa Taifa kuelekea Uchumi wa Kati. Kama wewe ni mwanasiasa, basi kuweka Sera na Mikatati ya maendeleo (Kijamii, kisiasa, Kiuchumi na Kiteknolojia) ambazo zitalinda na kuendeleza kiwango hicho cha "Kipato cha Kati", na si kubishana kama ni kweli au
La.
Tabia ya kupinga kila jambo na/au kujadili matukio inawaondoa kwenye masuala ya kitaifa ili Chama kikubaliwe na wananchi. Hivyo nategemea, Mkuu zitto junior na wenye tabia na mawazo kama yako, utatafsiri mafanikio ya Tanzania kupanda kwa Kipato cha Kati kwa vitendo ili kufikia " Middle Income" kama Zimbabwe uliyoifagilia.
Unanilazimisha kusema yasiyohusika na mada kuu, kwamba viongozi unaodhani wana uwezo wa kuipandisha Tanzania kiuchumi ndio hao wenye tuhuma za ufisadi, uzinzi na ulevi wa kupindukia!!!
Hiki ni choo cha walimu wa masasi , ndani ya nchi yenye uchumi wa kati .
View attachment 1494948
Mabeberu wanatuamuliaje juu ya uchumi wetu,JPM akatae ukuuji huu.Hivi Magufuli ndiye aliyetangaza TZ kuwa middle income au ni WB? Kwa nini anashambuliwa Magufuli?
Haiendi hivyo mkuu.Salary Slip,
Hatari kweli yaani growth ya $40 kwa Miaka 6!! Yaani kwa Mwaka tunaongeza $ 6.6 kwahiyo ili tufike Pato la $12,000 kutoka tuliopo sasa $1,090 inabidi Y = (12,000-1090)/6.6 = Nimepata Miaka 1600.
Usikanganye takwimu za uchumi mfano hapo umeambiwa hiyo Dollar haijawa adjusted kwa PPP yaani haipimi nguvu ya pesa kwenye manunuzi kitu ambacho si kweli maana nguvu ya dollar 1 Tz na Dollar 1 zimbabwe sio sawa.Kwahiyo unataka kusemaje hapo mkuu.
Kwa hiyo wewe na hao walio toa hiyo taarifa nani mtaalamu sasa, unadhani kwamba wao hawajui hizo formula mkuu.?Usikanganye takwimu za uchumi mfano hapo umeambiwa hiyo Dollar haijawa adjusted kwa PPP yaani haipimi nguvu ya pesa kwenye manunuzi kitu ambacho si kweli maana nguvu ya dollar 1 Tz na Dollar 1 zimbabwe sio sawa.
2. Hyo footnote inasema GNI haipimi welfare na Dev't ila yenyewe inachukua tu wastani wa kipato sio mtu mmoja mmoja na hpa ndio takwimu zinapokuwa misleading.
3. Haijawa adjusted kwa income inequality yaani mfano Trillion 6 za SGR zimeenda kwa kampuni ya mturuki basi pato la taifa litasoma kuna Trillion 6 zimeingia bila kujali nani na nani wamepata. Sasa ukienda kichwa kicjwa utaamini trillion 6 zipo kitaa kumbe kabeba mtu mmoja tu maana hta misumari wanaagiza nje!
Nachosema ni kwamba takwimu za kiuchumi hazisomwi kwenye kichwa cha habari bali CONTENT, na ndio maana siku Benki ya maendeleo Afrika ama IMF wakija na takwimu zingine kuonyesha ni Low income msije mkaanza kuwatukana ni mabeberu maana wao watakuja na formula tofauti tofauti so utaelewa nachosema.
NB: Jiulize zimbabwe pamoja na kuporomoka uchumi hadi negative growth kivp ndani ya mwaka wameingia ''uchumi wa kati'' .
Overview
Sikiza, huwa ukishafikisha wanakuacha kwa miaka kadhaa kuangalia kama utakuwa consistent, ili wasije kuweka nchi kwenye mid income afu ije kushuka waibadilishe tena.Ubishi wangu kwani mimi ndo naandaa data za WB?! Sasa wakati wewe unadai nchi ilishafika hapo since 2018, wenyewe WB wanasema hivi:-
View attachment 1494677
Sasa mimi na wewe mbishi hapo nani?!
Kwa hiyo wewe Ndugu unasemaje?!Anyamaze watu wazidi kulishwa ujinga? Boss, Karne hii bado unajivunia watu kuongozwa kama vipofu kwa kulishwa propaganda? Halafu unaandika kiswahili na kuchanganya na kiingereza ili uonekane ni msomi, huku ukitetea watu waongozwe bila kujua ukweli!
Hapo sasa ndio ushangae mkuu mana sijaelewa bado, hii taarifa kama ingekuwa ni report ya Prof Mpango kweli tungesema imepikwa, sasa huko WB nako sijui nani aliyeenda kupika hii report?Hivi Magufuli ndiye aliyetangaza TZ kuwa middle income au ni WB? Kwa nini anashambuliwa Magufuli?
Ndio unataka kusemaje hapo mkuu.Low middle ..
Masikio yangu mabovu?nilichosikia umekua kufikia $4,045ELEWENI 2014, GDP per capita ya Tanzania ilikuwa $ 1,030 IKASHUKA ikawa $947 2015. Leo tunambiwa tuko $1,090. Tumepanda kwa $40 Kwenye miaka 6. Tunashukuru sana Mh. Rais. Tukiendelea hivi 2025 GDP per capita itafika $1,130. Kwa mwendo HUU tutakuwa tajiri baada ya miaka 150-Fatma Karume on twitter
We ni kilaza sio!?Ndio unataka kusemaje hapo mkuu.
Kilaza ndio nini mkuu?We ni kilaza sio!?
Alafu mnacompare 2010 to 2015 ya jk na 2015 - 2018 ya jpm.Angalia 2015 hadi 2018
View attachment 1494758
Mkuu kwa jinsi ulivyojikamua apo juu kwa akili ya kawaida tu ina maana wewe una akili kuliko hao world bank.Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.
Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'
Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559
Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.
Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564
Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!
On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.
View attachment 1494576
Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!