Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Ripoti ya Benki ya Dunia kutangaza rasmi kuwa uchumi wa Tanzania umepanda na kuwa ni wakati ni pigo kubwa sana kwa vyama vya upinzani.
Miaka 5 ya utawala wa CCM 2015-2020 hiki chama tawala kimedhihirisha wazi kimejirekebisha kwa kiasi kikubwa na kuamua kuwaletetea maendeleo watanzania.
Hongera kubwa ziende kwa Mwenyekiti wa CCM John Pombe Magufuli ambaye ni wazi amekuwa ni mwokozi wa CCM baada ya chama hiki kuwa na hali mbaya kabla ya 2015
Ni wazi tutegemee ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao kwa chama tawala cha CCM
Miaka 5 ya utawala wa CCM 2015-2020 hiki chama tawala kimedhihirisha wazi kimejirekebisha kwa kiasi kikubwa na kuamua kuwaletetea maendeleo watanzania.
Hongera kubwa ziende kwa Mwenyekiti wa CCM John Pombe Magufuli ambaye ni wazi amekuwa ni mwokozi wa CCM baada ya chama hiki kuwa na hali mbaya kabla ya 2015
Ni wazi tutegemee ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao kwa chama tawala cha CCM