Usikanganye takwimu za uchumi mfano hapo umeambiwa hiyo Dollar haijawa adjusted kwa PPP yaani haipimi nguvu ya pesa kwenye manunuzi kitu ambacho si kweli maana nguvu ya dollar 1 Tz na Dollar 1 zimbabwe sio sawa.
2. Hyo footnote inasema GNI haipimi welfare na Dev't ila yenyewe inachukua tu wastani wa kipato sio mtu mmoja mmoja na hpa ndio takwimu zinapokuwa misleading.
3. Haijawa adjusted kwa income inequality yaani mfano Trillion 6 za SGR zimeenda kwa kampuni ya mturuki basi pato la taifa litasoma kuna Trillion 6 zimeingia bila kujali nani na nani wamepata. Sasa ukienda kichwa kicjwa utaamini trillion 6 zipo kitaa kumbe kabeba mtu mmoja tu maana hta misumari wanaagiza nje!
Nachosema ni kwamba takwimu za kiuchumi hazisomwi kwenye kichwa cha habari bali CONTENT, na ndio maana siku Benki ya maendeleo Afrika ama IMF wakija na takwimu zingine kuonyesha ni Low income msije mkaanza kuwatukana ni mabeberu maana wao watakuja na formula tofauti tofauti so utaelewa nachosema.
NB: Jiulize zimbabwe pamoja na kuporomoka uchumi hadi negative growth kivp ndani ya mwaka wameingia ''uchumi wa kati'' .
Overview