Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

figures za 2019 ndio zimeifanya nchi kuingia mid income?
 
Kuna document ya WB Tz iko kwenye kinfolk moja na Zimbabwe na IMEANDIKWA (SIN Seriously severely Indebted
 
Hivi Magufuli ndiye aliyetangaza TZ kuwa middle income au ni WB? Kwa nini anashambuliwa Magufuli?
JPM NDO KATANGAZA. Kwa kuondoka neno Lower kule World bank wametangaza Lowermiddle income
 
LOWER MIDLE INCOME NAONA NENO LOWER LIMEONDOLEWA KWA SabABU ZA KIUFUNDI
Neno LOWER limeonekana linaondoa ladha ya kutapeli raia.
Serikali yetu imefikia mahali ipo kama zuzu afanyaye kazi kwa Baniani mjini akipata salary increment tuu habari zitatangazwa kwao kijiji kizima kwa ndelemo.
Taarifa hii ya WB usishangae UVCCM wakaitisha maandamano nchi nzima kuipongeza ccm na jpm bila wao kuelewa maana halisi.

 
Uchumi wa kikwete ulikuwa na msingi mbovu, ilibidi kuanza tena vizuri, ndio maana unashuhudia hilo anguko
 
Cdm walishaamka kwenye dunia ya giza boss. Wanapoambiwa kitu hawatii kama mbuzi, lazima wapime na kuujua ukweli ili kujiridhisha.
Lkn mbowe kudanganya kapigwa mkatii kama nyumbu mlivyo.
Kumbe alilewa.
 
Una uthibitisho misumari wanaagiza nje?
 
Pongezi kwa watanzania na serikali yao, japo maisha ya raia mmoja mmoja bado magumu sana
 
Juzi nilitafuta Sana kuona wale watalii waliojaza ndege zetu na za kimataifa kwa booking zimejaa Hadi mwezi wa nane. Cha ajabu mbughani watalii Ni Kama hawapo na kingine mtu kufanya booking bila kusafiri.
 
Hivi Magufuli ndiye aliyetangaza TZ kuwa middle income au ni WB? Kwa nini anashambuliwa Magufuli?
Usihangaike na wajinga aliovaa majoho ya kugraduate.
Labda Magu kawahonga mabeberu watangaze?
Kama mtu unatumia akili zote hata hivyo huwezi calculate growth kwa kugawa ongezeko la Usd 40 kwa 6.
Huo ni ukilaza wa hesabu za uchumi.
Utatumia factor zipi?
 
Covid 19 bado Ni tishio Niko hospitali moja huku bila barakoa huingii getini. Halafu mdada mmoja aliniambia mzee wake aliugua, familia yote wakaugua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…