Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Kunya anye kuku tu akinya Bata kaharisha !!!!! Tatizo pia mdharau kwao Ni mtumwa hakika
 
Uchumi
Taarifa ya Benki ya Dunia kwamba Tanzania sasa imeingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati imepokelewa kwa furaha na wananchi wengi japo wapinzani wachache hawajafurahishwa.

Niseme tu hili siyo swala la kiitikadi bali ni jambo jema kitaifa.
Taarifa hii ni ya WB siyo ya CCM wala Twaweza na WB wana data za uhakika za uchumi kuliko chama chetu kikuu cha upinzani yaani Chadema.

Chonde chonde wananchi tushirikiane na serikali katika kuukuza na kuulinda uchumi wetu..... Tusije tukaporomoka.

Maendeleo hayana vyama!
Uchumi umekuwa Ila wananchi dhoofu Hali tete hata uwezo wa kula mihogo tu hawana,huu uchumi wa Kati kwa wapiga dili labda
 
Tatizo tupo kwenye boda kiasi kwamba tukitikisika kidogo tuu, puuuu LDC .[emoji1][emoji1]
 
Leo nchi yetu imeingia kwenye orodha ya nchi zenye uchumi wa katika ndoto ambayo kila mtanzania alikuwa anatamani itimie.

Tanzania tulizoe jambo lolote baya likitokea hapa kwetu hata kama halina mashiko basi lazima hivi vyombo vya habari vikubwa kama BBC, Al JAZEERA, CNN n.k vitatangaza tena kwa kuzipa uzito mkubwa.
Sasa ajabu leo bank ya Dunia imeitaja rasmi kuwa Tanzania ni moja ya nchi zenye uchumi wa kati lakini hawa jamaa wamekuwa kimya kabisa kama hawaoni wala hawajui chochote.

Inamaana wapo tu kusubiri taarifa mbaya ndio waripoti lakini taarifa nzuri kama hizi kwao ni sumu?
Au hili nalo linavunja haki za binadamu na kukandamiza Democrasia?

Ndugu yetu Salim kikeke inamaana hajasikia chochote?

Ukimya huu una maana gani?
Wale wazee wa matamko umoja wa Ulaya hapa nchini vipi hawajatoa tamko lolote kupongeza hatua hii kubwa ambayo nchi yetu imepiga chini ya Rais Magufuli?

Tungetajwa kuongoza kwa madeni je napo wangenyamaza kama hivi?
🤣🤣
 
Taarifa ya Benki ya Dunia kwamba Tanzania sasa imeingia katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati imepokelewa kwa furaha na wananchi wengi japo wapinzani wachache hawajafurahishwa.

Niseme tu hili siyo swala la kiitikadi bali ni jambo jema kitaifa.
Taarifa hii ni ya WB siyo ya CCM wala Twaweza na WB wana data za uhakika za uchumi kuliko chama chetu kikuu cha upinzani yaani Chadema.

Chonde chonde wananchi tushirikiane na serikali katika kuukuza na kuulinda uchumi wetu..... Tusije tukaporomoka.

Maendeleo hayana vyama!
correct.

lakini hapo ni sawa sawa na mwanafunzi ki-la-za darasani aliyeanza kupata E kwenye mtihani kutoka F.
nchi yetu bado ipo katika nafasi ya 158 (ki-la-za) kati ya nchi 186 - yaani hapo tafsiri yake ni kuwa Tanzania bado ni among the top 30 poorest countries in the world!!
 
Kama jiwe hajafanya kitu...hata kagame huko Rwanda na kwingineko kote viongozi wa nchi masikini kumbe Basi hawajafanya kitu
 
Ni haki ya Tanzania kuwa ktk uchumi wakati kati-wachini kwasababu = hakuna nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, mafao ya wastaafu hayalipwi vyema, kodi za watanzania zimewekezwa ktk vitu na sio watu, serikali kupokonya wakulima mazao na hawalipwi kwa wakati au kuzulumiwa kabisa, serikari kun'gan'gania makampuni makubwa ya mawasiliano kwa kuyabinafsisha. hivyo serikari imejilimbikizia fedha nyingi ili kujipa nguvu na kudhofisha wananchi wake kikubwa na kibaya ni kuwa asilimia 60 mpaka 70 ya nchi zilizopo ktk uchumi wa kati-wachini wananchi wake ni makapuku wasiojimudu.
 
kwani tatizo liko wapi kenya wakiwepo, sio vizuri kufuatilia ya jirani muda wote la muhimu na la mbolea ni kujiangalia sisi na kujali yetu
 
na kwanini mty abakie kuwa mwananchi wa kawaida!!! hivi nyie mnaona watu wanaopata shida tu, hamuoni na watanzania wanaopiga hatua, namaanisha watanzania wanaofungua biashara, wanaosomesha watoto wanaohitimu kila mwaka, wale wanaojenga nyumba na majumba kila uchwao, hao hamuwaoni!!! mnawaona wanaohangaika tu ambao miongoni mwao (sio wote) wapo hivyo kwasababu ya uvivu, kutoona fursa n.k
 
Purchasing power ya raia wa Kenya huwezi linganisha na purchasing power ya utopolo kama TZ nchi inayotoa ajira majukwaani.
.
Kenyans are smart and risk takers.
Sorry Utopolo ndio nini?
Ooh so wewe sababu ni Mtz sio smart?
 
badala ya kuona hapo si kitu, njoo na mawazo ya jinsi gani tutasogea mbele zaidi, mawazo yako chanya ni bora zaidi ya kupuuza kwenu kuwa hakuna cha ajabu
 
Purchasing power ya raia wa Kenya huwezi linganisha na purchasing power ya utopolo kama TZ nchi inayotoa ajira majukwaani.
.
Kenyans are smart and risk takers.
Ha ha ha eti risk takers.....ila kweli HATA rais mh.Uhuru alishawahi kusema "jameni wakenya tumezidi kwa wizi"
 
Unajua tofauti ya Lower Middle Income na Middle Income, BBC na Aljazeera ni vyombo vya kimataifa zinafatiliwa na wachumi wa kimataifa haziwezi kulishwa matango pori kama inavyolishwa TBC.
Kwahiyo hao wachumi wa kimataifa hawapo huko WB?
Haya matangopori unayo yasema kayatunga nani ni sisi au ni hao WB?
Kwahiyo hivyo vyombo vya habari vinajua uchumi zaidi kuliko World Bank?
 
Mkuu hawa nzi wa kijani wamechagua kutokusoma fact uliyoandika na wamehamua kwenda na bandiko la jiinzi kubwa kuliko
 
Kwahiyo hao wachumi wa kimataifa hawapo huko WB?
Haya matangopori unayo yasema kayatunga nani ni sisi au ni hao WB?
Kwahiyo hivyo vyombo vya habari vinajua uchumi zaidi kuliko World Bank?
Nyinyi ndio wale wachache wanapokurupuka kutoka kitandani huanza kumtaja na kumshukuru mungu,na si wale kina Mmawia wanaopapasa chupa ya faru John KABLA KUYAFUNGUA MACHO.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ni kwamba umesahau kuweka "wa" badala ya "ba"... Umenifurahisha sana mkuu
Hapana mkuu
nilisikia kwenye mwimbo wa msanii wa Rap anaitwa itwa Niki mbishi ,nyimbo yake inaitwa I'm sorry Jk
 
TBC si ipo

Hivyo vyombo ulivotaja kabla ya kutangaza habari huwa wanaipima. Kuna kitu kinaitwa news-worthiness. Yaani hii taarifa inafikia kiwango cha kuwa ni habari? Wao wasikilizaji wao ni wa dunia. Jee Tanzania kufikia lower-middle income ni habari au ni taarifa tu? Kuna nchi ngapi nyengine zime achieve hayo au zaidi ya hayo katika ripoti hiyo ya WB? Wazitaje zote au wachukuwe izilizo vuka malengo na zilizoshuka kiwango kuliko matarajio?

Tanzania ilitegemewa kufikia hapa ilipo kutokana na mwenendo wa taarifa za nyuma yake. Kwa hiyo hiyo siyo habari ya level ya kimataifa bali ni ya Local tu. Kwa hiyo tutegemee kutangazwa na TBC na EATV na local TV nyengine!
Utetezi mwingine wa ajabu kweli, kwahiyo kama hii haiwezi kuwa habari ya kimaifa kwamba wao wanapima habari zao ila habari ya mtu mlevi kuporomoka kwenye ngazi kisha kuteguka mguu hiyo ndio habari yenye hadhi ya kimaifa.
 
Back
Top Bottom