Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Sasa unachokifanya hapa ni kipi hasa maana hueleweki!

Mada iliyopo ni benk ya dunia kuiorodhesha tz kwenye nchi za uchumi wa kati!
Sasa wewe mwenzetu hueleweki kama unapinga au unakubaliana na benk ya dunia! Hebu twanbie basi msimamo wako ni upi kwenye hii mada
Vitabia vyengine vya kimirembemirembe kweli,we mtu na akili zako unakuwa huelewi...huku hawapo,kule hawapo....

Mimi nilijishika kidevu nikanusa kidole changu.
Jitu linaiga linajitia kiddd.oleee masaburini na kujinusa PUANI...vijana wa CDM bure kabisa.
 
Siku wakisema uchumi unakuwa kwa 4.7% Tusipinge data zao
 
Wao walitaka kusikia Tanzania uchumi umeshuka na haingii uchumi wa kati, yaani uchumi wetu uwe sawa na Zimbabwe huo ndio wimbo wanaoimba kila siku matokeo yakiwa tofauti wanakuja na data zao ohh miaka mitano imeongezeka hivi ohhh tulikuwa hivi Mara vile , hata huu uchumi wakati umepatikana toka 2018 sasa hivi goal wamehamisha wa nakuambia miaka mitano , hapa cha msingi ni kujipongeza kuwa tuko ndani vibaya sana kama taifa.
Hakuna kitu kibaya kama ukijengwa kwenye kupinga kila kitu. Sioni kosa la mheshimiwa raisi nashangaa watu wanaleta data tu. Kuna mmoja kasema msishangilie ngoja niwaletee data. Yeye nani tumwamini kuliko bank ya dunia? Au wanafikiri Jpm alikurupuka. Uzuri wa haya mambo yako wazi na ni hesabu ndogo tu wala hazihitaji kukesha darasani.
 
Hivi ni kweli hujaelewa nilichokisema au hutaki tu kukielewa kwa sababu ni hoja ambayo usingependa kuisikia?!
Chuki zako wewe ni kwa Magufuli tu basi!
Ndio maana mada inaongelea tanzania kuingia kwenye kundi la nchi zenye uchumi wa kati! Lakini wewe umeenda kuokota vidata vyako huko kuja kuwaokota wajinga humu.. Swali langu, wewe hukubaliani na WB?

Hizi chuki zako zipo tangu tangu covid19 imeingia ukiwa sifia Kenya, Uganda na Rwanda, haya umeona sasa wale waliokuwa unawasifia kisa tu unamchukia Magufuli wako wapi na sisi tuko wapi?

Kwanza wamekwambia kale kamkutano kao kalikofanya umtukane sana Magu hapa kwa chuki zako kameleta impact gani?

Sasa hata hili la WB nalo wewe uko hapa bado kuonesha chuki zako! Haya wapigie hao WB basi kwamba Magufuli hafai ili wabadirishe uamuzi,...
 
Hakuna kitu kibaya kama ukijengwa kwenye kupinga kila kitu. Sioni kosa la mheshimiwa raisi nashangaa watu wanaleta data tu. Kuna mmoja kasema msishangilie ngoja niwaletee data. Yeye nani tumwamini kuliko bank ya dunia? Au wanafikiri Jpm alikurupuka. Uzuri wa haya mambo yako wazi na ni hesabu ndogo tu wala hazihitaji kukesha darasani.
Mimi nadhani ukimtafuta DAKTARI bingwa wa magonjwa ya akili halafu ukamuuliza;

Hivi vitabia vya kupingapinga walivyonavyo watu hususani wa Chadema na wenzao wengine UNAVIONAJE?!!!

USISHANGAE UKAPEWA JINA GUMU LA KISOMI LA AFYA MBOVU ZA AKILI ZAO...
 
Nguzo kuingia kwenye uchumi wa kati na nyumba za tembe
Na kuingia kwenye uchumi wa kati haimaanishi kuwa kila mtu ana hela hapa ni wastani tu umekaa vizuri hauweki gap kubwa kati ya walio nacho na wasio nacho. Afrika ya kusini ni moja nchi ya tano dunia ambazo uchumi wake unakua kwa kasi. Ikiwekwa sambamba na Brazil, Urusi, India, na China. Lakini nenda kaangalie maisha ya waafrika huko madiba yalivyo duni. Kukua kwa uchumi haimaanishi hela zinajaa mfukoni mwa watu. Tusipofanya kazi tutakufa njaa tu
 
Na kuingia kwenye uchumi wa kati haimaanishi kuwa kila mtu ana hela hapa ni wastani tu umekaa vizuri hauweki gap kubwa kati ya walio nacho na wasio nacho. Afrika ya kusini ni moja nchi ya tano dunia ambazo uchumi wake unakua kwa kasi. Ikiwekwa sambamba na Brazil, Urusi, India, na China. Lakini nenda kaangalie maisha ya waafrika huko madiba yalivyo duni. Kukua kwa uchumi haimaanishi hela zinajaa mfukoni mwa watu. Tusipofanya kazi tutakufa njaa tu
👋👋👍
 
Vitabia vyengine vya kimirembemirembe kweli,we mtu na akili zako unakuwa huelewi...huku hawapo,kule hawapo....

Mimi nilijishika kidevu nikanusa kidole changu.
Jitu linaiga linajitia kiddd.oleee masaburini na kujinusa PUANI...vijana wa CDM bure kabisa.
Huyo Chige ni mjinga tu anaefikiri ni msomi sana kumbe hata mimi darasa la saba namzidi!

Shida ya vijana hawa wanaojifanya kumkosoa Magufuli hawaelewi wamkosoa wapi na kwa vipi, ndio sababu wako tayari kumshabikia Membe kuliko Lisu sababu tu Membe hayuko pamoja na Magufuli!

Unarudi kujiuliza swali, akitoka Magufuli ndio ccm imetoka?
 
Chuki zako wewe ni kwa Magufuli tu basi!
Ndio maana mada inaongelea tanzania kuingia kwenye kundi la nchi zenye uchumi wa kati! Lakini wewe umeenda kuokota vidata vyako huko kuja kuwaokota wajinga humu.. Swali langu, wewe hukubaliani na WB?

Hizi chuki zako zipo tangu tangu covid19 imeingia ukiwa sifia Kenya, Uganda na Rwanda, haya umeona sasa wale waliokuwa unawasifia kisa tu unamchukia Magufuli wako wapi na sisi tuko wapi?

Kwanza wamekwambia kale kamkutano kao kalikofanya umtukane sana Magu hapa kwa chuki zako kameleta impact gani?

Sasa hata hili la WB nalo wewe uko hapa bado kuonesha chuki zako! Haya wapigie hao WB basi kwamba Magufuli hafai ili wabadirishe uamuzi,...
Ngoja nikupuuze manake hakuna hoja ninayoona ya kiboya kama hoja eti nina chuki kwa Magufuli!!!
 
Huyo Chige ni mjinga tu anaefikiri ni msomi sana kumbe hata mimi darasa la saba namzidi!

Shida ya vijana hawa wanaojifanya kumkosoa Magufuli hawaelewi wamkosoa wapi na kwa vipi, ndio sababu wako tayari kumshabikia Membe kuliko Lisu sababu tu Membe hayuko pamoja na Magufuli!

Unarudi kujiuliza swali, akitoka Magufuli ndio ccm imetoka?
Cra'p!!
 
Na kuingia kwenye uchumi wa kati haimaanishi kuwa kila mtu ana hela hapa ni wastani tu umekaa vizuri hauweki gap kubwa kati ya walio nacho na wasio nacho. Afrika ya kusini ni moja nchi ya tano dunia ambazo uchumi wake unakua kwa kasi. Ikiwekwa sambamba na Brazil, Urusi, India, na China. Lakini nenda kaangalie maisha ya waafrika huko madiba yalivyo duni. Kukua kwa uchumi haimaanishi hela zinajaa mfukoni mwa watu. Tusipofanya kazi tutakufa njaa tu
Kabisa mkuu,,!
Kenya ipo uchumi wa kati toka zamani lakini hakuna wanachi wenye maisha magumu kama wa Kenya afrika mashariki hii,!

Sisi hapa pamoja na umasikini wetu lakini mtu kukosa kabisa msosi ni uzembe wake mwenyewe,
Hapa kwetu vyakula vipo tele tena kwa bei nafuu sana.
Hapa tz unaweza kusikia mtu analia njaa lakini ana bonge la shamba kijijinj kwao na ng'ombe kibao. Kenya hilo huwezi kukuta, wanachi ni masikini hasa vyakula shida mashamba hawana yani wanachi wa Kenya hutamani sana maisha ya raia wa tz yalivyo marahisi.

Achana na haya yanayopiga kelele humu yanasubiri ajira za kuzunguka kwenye viti pale mitaa ya posta dar.
 
Kwa takwimu hizo, ni ushahidi tosha kwamba JPM amevuruga uchumi, na JK was far better compared to JPM.

Taarifa hiyo ya Benki ya Dunia inasema kwamba:- Kwa maana nyingine, hatimae ndo tumefika kwenye $1036+!!'

Ukiangalia WB Secondary Data, unakutana na hii kitu (GNI per capita by Atlas Method).
View attachment 1494559

Kumbe, 2015 GNI Per Capita by Atlas Method ilikuwa $980. Kwa maana nyingine, kwa miaka 5 mzima, JPM alikuwa anahangaika kuivusha GNI per capita from $980 to $1036... a difference of ONLY $54.

Kinyume chake, GNI Per capita in 2010 ilikuwa kama ifuatavyo:-
View attachment 1494564

Utaona hapo, in 2010 GNI per capita ilikuwa $720, na kwa maana nyingine, GNI per capita ilipanda from $720 in 2010 to $980 in 2015! Yaani ilipanda kwa $260, wakati miaka 5 ya JPM imepanda around $54+!

On top of that, mwaka 2005 GNI per capita ilikuwa $500, na kwa maana nyingine, miaka yake 5 ya kwanza, Mzee wa Msoga alipandisha GNI per capita from $500 in 2005 to $720 in 2010... yaani $220 wakati JPM miaka 5 yake ya kwanza inaonesha kapandisha for less than $100.

View attachment 1494576

Ama kweli mtaji mkubwa JPM ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake! And JPM anafanikiwa haya kwa sababu ile ile niliyowahi kuitaja siku za nyuma: Tanzania is full of people with average mind, and many more below the average!
Unajitahidi kupika midata yako ili utuaminishe upuuzi, kaa mbali na uchafu wako huo
 
Na kuingia kwenye uchumi wa kati haimaanishi kuwa kila mtu ana hela hapa ni wastani tu umekaa vizuri hauweki gap kubwa kati ya walio nacho na wasio nacho. Afrika ya kusini ni moja nchi ya tano dunia ambazo uchumi wake unakua kwa kasi. Ikiwekwa sambamba na Brazil, Urusi, India, na China. Lakini nenda kaangalie maisha ya waafrika huko madiba yalivyo duni. Kukua kwa uchumi haimaanishi hela zinajaa mfukoni mwa watu. Tusipofanya kazi tutakufa njaa tu
Bwebwe zote za nini sasa kama unasema uchumi unapaa halafu sina uhakika wa chakula?
 
Post zako kuhusu corona zipo mkuu,! Ndio shida ya kujifafanya unajua sana kila kitu,

Mmeandika takataka nyingi sana nyie kuhusu Magufuli kwenye suala la corona,

Ndio maana wengine huko dodoma wamelewa na kuteguka miguu kwa kulewa, pengine ni laana ya yale Maombi ambayo wakati wengine wanafunga na kuomba nyie mnakejeli kwa kusema Mungu yuko Italia na Uarabuni sie huku afrika ni wajinga tu
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Post zako kuhusu corona zipo mkuu,! Ndio shida ya kujifafanya unajua sana kila kitu,

Mmeandika takataka nyingi sana nyie kuhusu Magufuli kwenye suala la corona,

Ndio maana wengine huko dodoma wamelewa na kuteguka miguu kwa kulewa, pengine ni laana ya yale Maombi ambayo wakati wengine wanafunga na kuomba nyie mnakejeli kwa kusema Mungu yuko Italia na Uarabuni sie huku afrika ni wajinga tu
[emoji3][emoji3][emoji3]
Cr'ap!
 
Back
Top Bottom