Benki ya Exim ya China kuichukua bandari ya Mombasa endapo Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR)

Benki ya Exim ya China kuichukua bandari ya Mombasa endapo Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR)

Daah bora kile kizazi cha kina chifu mangungo watajitetea hawakuwa na elimu sasa hiki wataalamu kibao ila ndo wanatupoteza na kutuingiza kwenye umaskini wa milele.
 
Kwetu huwezi kujua hata likitokea kuna usiri mkubwa na uzalendo wakinafiki.....ukweli nikwamba wa China ni wabaya×2 kuliko wazungu.....boro ukopeshwe na tajiri alio starabika kuliko masikini mwezio ambaye anaweza kukunyang'anya hata seruali ukishindwa kumlipa

Unataka kutuambia wachina ni masikini! Hao hao wazungu wanaeneza ushoga unawaona bora kuliko mchina!!!! Hao hao wazungu wameleta biashara ya utumwa na kutesa babu zetu unawaona bora kuliko mchina!!! Are you serious!!
 
Unataka kutuambia wachina ni masikini! Hao hao wazungu wanaeneza ushoga unawaona bora kuliko mchina!!!! Hao hao wazungu wameleta biashara ya utumwa na kutesa babu zetu unawaona bora kuliko mchina!!! Are you serious!!
Kwanini mnajifanya mna uchungu na 'matako' ya watu? mlishawahi kuwaona wapi.
 
Jibe swali wacha porojo. Au ni mwiba? Haumezeki hautemeek. Teh teh teh.
Tumia akili, hivi wakati Tanganyika ikiwa koloni la wazungu waliibeba kuipeleka ulaya, waliwezaje kutunyonya.
 
Source?
Hatuwezi kuthibitisha kwa vimaneno vichache hivyo hebu jazia nyama
Mwenye macho haambiwi tazama
IMG-20181219-WA0019.jpg
 
Marekani wanadaiwa mabilioni ya dola na China na bado wanaendelea kukopa. Mbona hatusikii mali za Marekani zinachukuliwa na Mchina? Ufisadi wetu kwanini tumlaumu Mchina?
USA hawaingii negotiation za kipumbavu kama za nchi za kiafrika. Kabla ya kukopa wanafanya upembuzi yakinifu na wa wazi kiasi ambacho watu wao wanahoji, terms za mkopo kati ya china na us haziwezi kuwa sawa na vinchi vya kiafrika na china, viafrika kunegotiate utakuta kuna 100% za viongozi, huwezi kuta huu upuuzi kwa us.
 
Bado jiwe siku wameondoka hizo bombardier zake pamoja na uwanja wake Wa chato ndo atakoma kumfagilia mchina
 
Hata sisi hii mikopo itatuumbua tu

Hii miradi mbali na kuongeza deni la Taifa,ukweli ni kwamba hailipi na zaidi ni mzigo tu kwa hizi serikali zetu.

Hii miradi ingeachiwa private sector au serikali ingekuwa na hisa kidogo lakini sio kumiliki hii miradi kwa asilimia 100.

Niwaambie tu,SGR na ATCL ni mizigo tutakayoibeba kwa kodi zetu.

Tumekuwa mateka wa fahari ya macho na kupuuza uhalisia-mtu mmoja kwa kutumia cheo na madaraka yake kawafanya watu mazuzu wasione mbele.

Watu wanashangilia na kusifu wakati mikataba inafanywa siri na wala hawajiulizi!!

Unataka uambiwe ili ufanye nini!!!!haya subiri kulipa kama ni kazi yako.
 
Sasa ulitakaje?Dawa ya mkopo si kulipa.Unataka upewe mkopo halafu ukishindwa kulipa wakusamehe,ajabu sana.

Uzuri wa China ni kwamba kwa mikopo yao, there are no strings attached.Tatizo la Ulaya na Marekani ni kwamba wanataka mkubali kwanza same sex marriages,shame on them.Halafu Watanzania wenzetu wanawapigia tena "wagosi" wanawapigie chapua.Ajabu sana.Mwanaume unaambiwa uolewe unafurahia!
 
Back
Top Bottom