Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
halafu kuna jamaa anatuambia kwamba China ni marafiki wazuri....
hivi gesi ipo salama kweli ??????🙄🙄
Kwetu huwezi kujua hata likitokea kuna usiri mkubwa na uzalendo wakinafiki.....ukweli nikwamba wa China ni wabaya×2 kuliko wazungu.....boro ukopeshwe na tajiri alio starabika kuliko masikini mwezio ambaye anaweza kukunyang'anya hata seruali ukishindwa kumlipa
Siungi mkono serikali zetu kukopa kwa wachina lakini China si masikini kama usemavyo mkuu.
Jibe swali wacha porojo. Au ni mwiba? Haumezeki hautemeek. Teh teh teh.Hata hilo hujui.
Sasa wakitunyang'anya ziwa letu victoria si ndiyo wavuvi wetu watakuwa wametiwa umasikini?
Ndiyo maana yake. Maana kuna kopa kopa inaendelea lakini tunaambiwa tupo kwenye right track.Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji!!
Kwanini mnajifanya mna uchungu na 'matako' ya watu? mlishawahi kuwaona wapi.Unataka kutuambia wachina ni masikini! Hao hao wazungu wanaeneza ushoga unawaona bora kuliko mchina!!!! Hao hao wazungu wameleta biashara ya utumwa na kutesa babu zetu unawaona bora kuliko mchina!!! Are you serious!!
Reli ya TAZARA ilijengwa na nani? Kiwanda cha urafiki?China hajawahi kuwa rafiki kwa mataifa ya Afrika
Kwanini mnajifanya mna uchungu na 'matako' ya watu? mlishawahi kuwaona wapi.
Nani rafiki wa mataifa ya Afrika?
Tumia akili, hivi wakati Tanganyika ikiwa koloni la wazungu waliibeba kuipeleka ulaya, waliwezaje kutunyonya.Jibe swali wacha porojo. Au ni mwiba? Haumezeki hautemeek. Teh teh teh.
Mwenye macho haambiwi tazamaSource?
Hatuwezi kuthibitisha kwa vimaneno vichache hivyo hebu jazia nyama
Enhee..!!kama umeileta kizushi tuzinguane na manyang'au sawa ila habari haina chanzo zaidi ya mapicha picha. japo ikiwa kweli nitafurahi maana rafiki wetu wa kweli kafanyakweli
Wazungu mpaka leo wana kunyonga hujijuwi tu. Unanini leo hii ambacho huhitaji kutoka kwa Mzungu au Mhindi au Mmisri?Tumia akili, hivi wakati Tanganyika ikiwa koloni la wazungu waliibeba kuipeleka ulaya, waliwezaje kutunyonya.
USA hawaingii negotiation za kipumbavu kama za nchi za kiafrika. Kabla ya kukopa wanafanya upembuzi yakinifu na wa wazi kiasi ambacho watu wao wanahoji, terms za mkopo kati ya china na us haziwezi kuwa sawa na vinchi vya kiafrika na china, viafrika kunegotiate utakuta kuna 100% za viongozi, huwezi kuta huu upuuzi kwa us.Marekani wanadaiwa mabilioni ya dola na China na bado wanaendelea kukopa. Mbona hatusikii mali za Marekani zinachukuliwa na Mchina? Ufisadi wetu kwanini tumlaumu Mchina?
Hata sisi hii mikopo itatuumbua tu
Hii miradi mbali na kuongeza deni la Taifa,ukweli ni kwamba hailipi na zaidi ni mzigo tu kwa hizi serikali zetu.
Hii miradi ingeachiwa private sector au serikali ingekuwa na hisa kidogo lakini sio kumiliki hii miradi kwa asilimia 100.
Niwaambie tu,SGR na ATCL ni mizigo tutakayoibeba kwa kodi zetu.
Tumekuwa mateka wa fahari ya macho na kupuuza uhalisia-mtu mmoja kwa kutumia cheo na madaraka yake kawafanya watu mazuzu wasione mbele.
Watu wanashangilia na kusifu wakati mikataba inafanywa siri na wala hawajiulizi!!