Izzi
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 553
- 1,144
Habari wana jukwaa;
I must declare; Mimi bado ni mwanafunzi katika tasnia ya FOREX. Sasa jana nilienda pale FNB Ohio st. ili nifungue akaunti ambayo ingekuwa mahsusi kwaajili ya FX tu. Lakini zoezi halikufanikiwa kwasababu niliambiwa kuwa hivi sasa wameamua kutofungua tena akaunti za FOREX. Wanasema chanzo ni kuwa akaunti nyingi za FOREX zilizofunguliwa na watu before zilikuwa zinatumika kidogo sana halafu watu wanazitelekeza, kwa hiyo inakuwa ni hasara kwa benki.
So, kama una mpango wa kufungua akaunti FNB this time kwa dhamira ya kuitumia kwa shughuli za FOREX - they won't allow you. ALTERNATIVE: Uwaambie una ajira, kwa hiyo akaunti ni kwaajili ya mshahara na transactions zingine, au uwathibitishie kuwa una shughuli zingine za kibiashara zaidi ya FOREX.
Binafsi alternative zote hazikunifaa kwasababu although nina shughuli zingine za kibiashara lakini nina akaunti CRDB, NBC na BANK ABC kwaajili hiyo. Nilihitaji akaunti ya FNB ndo iwe mahsusi kwa FOREX,... unfortunately. Kwa majibu yao inaonesha traders wengi Tanzania either hawako serious au wanachoma sana akaunti au ni janja janja nyingi mpaka wameziba milango ya wengine kufungua akaunti.
Siwalaumu benki kwa maamuzi waliyochukua, hata ningekuwa mimi ndo in charge of FNB I would do the same.
I must declare; Mimi bado ni mwanafunzi katika tasnia ya FOREX. Sasa jana nilienda pale FNB Ohio st. ili nifungue akaunti ambayo ingekuwa mahsusi kwaajili ya FX tu. Lakini zoezi halikufanikiwa kwasababu niliambiwa kuwa hivi sasa wameamua kutofungua tena akaunti za FOREX. Wanasema chanzo ni kuwa akaunti nyingi za FOREX zilizofunguliwa na watu before zilikuwa zinatumika kidogo sana halafu watu wanazitelekeza, kwa hiyo inakuwa ni hasara kwa benki.
So, kama una mpango wa kufungua akaunti FNB this time kwa dhamira ya kuitumia kwa shughuli za FOREX - they won't allow you. ALTERNATIVE: Uwaambie una ajira, kwa hiyo akaunti ni kwaajili ya mshahara na transactions zingine, au uwathibitishie kuwa una shughuli zingine za kibiashara zaidi ya FOREX.
Binafsi alternative zote hazikunifaa kwasababu although nina shughuli zingine za kibiashara lakini nina akaunti CRDB, NBC na BANK ABC kwaajili hiyo. Nilihitaji akaunti ya FNB ndo iwe mahsusi kwa FOREX,... unfortunately. Kwa majibu yao inaonesha traders wengi Tanzania either hawako serious au wanachoma sana akaunti au ni janja janja nyingi mpaka wameziba milango ya wengine kufungua akaunti.
Siwalaumu benki kwa maamuzi waliyochukua, hata ningekuwa mimi ndo in charge of FNB I would do the same.