Katika hali inayoonekana kwamba vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani na marafiki zake dhidi ya Russia vinaanza kuitesa taifa hilo.
Benki za Urusi zimeondoa kiasi cha yuan, kwa kiasi kikubwa kwa sababu makampuni ya kifedha ya China yanazuiliwa kufanya biashara na taifa hilo.
Wakopeshaji wameitaka benki kuu ya Urusi kushughulikia uhaba wa ukwasi wa yuan katika taifa hilo, huku wadadisi wakisema kuwa upatikanaji wa sarafu ya China umekuwa shida. Reuters iliripoti.
markets.businessinsider.com
Benki za Urusi zimeondoa kiasi cha yuan, kwa kiasi kikubwa kwa sababu makampuni ya kifedha ya China yanazuiliwa kufanya biashara na taifa hilo.
Wakopeshaji wameitaka benki kuu ya Urusi kushughulikia uhaba wa ukwasi wa yuan katika taifa hilo, huku wadadisi wakisema kuwa upatikanaji wa sarafu ya China umekuwa shida. Reuters iliripoti.
Russian banks say they've run out of yuan as Chinese firms pull away from the nation
Payment scuffles between Russian companies and Chinese banks have escalated in recent weeks, with Chinese firms pulling back amid fear of sanctions.