Pre GE2025 Benson Kigaila amshambulia vikali Tundu Lissu, asema hajui chochote kuhusu Uchaguzi sababu hakuwepo nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM wanatamani sana Mbowe akae pembeni hatujajua kwa sababu gani hasa.
 
Hana mvuto wakisiasa ,na kwann alipewa unaibu katibu mkuu

Mgogo huyu anatakiwa kuwa manjinjioni kukamua mavi utumbo wa ng'ombe
 
CCM wanatamani sana Mbowe akae pembeni hatujajua kwa sababu gani hasa.
Acha kujiingiza kwenye mtego wa Mbowe mkuu, hiyo ni janja janja tu ili aendelee kusalia kwenye nafasi ya Mwenyekiti MILELE. Unadhani Mbowe asipokuwepo CDM itakufa?
 
Walitumia zaidi ya 20bil kuzuia maandamano ya cdm ambayo haipo
 
Nionavyo mimi chadema ni brand kubwa inayoharibiwa na watu wachache yaani viongizi walipo juu na baadhi ya vijana wao wasio na adabu, heshima na maadili. Wasio na uwezo wa kujenga hoja badala yake huishia kutukana tu pale wanaposhauriwa au mtu akitofautiana mtizamo na wao, na vijana hao wengi wanaochafua image ya chadema wamejaa kwenye mitandao ya kijamii hasa jf, uraiani huwezi kuwaona. Chama kinachoonekana kuwa ni chama kikuu cha upinzani kilipaswa kiwe na watu smart kwenye kila idara, kisiwe na chuki ya wazi wazi na vyombo vya dola, kutokudandia dandie matukio kama wanaharakati, kutokuzungumza na kuitisha press conference mara kwa mara ambazo zinaadress mambo yao binafsi badala ya mambo ya kitaifa na yanagusa wananchi.
 
Hao wachumia tumbo kina kigaila ndiyo wameharibu chadema. Lisu ndiye mtu pekee mwadilifu chadema
 
kwani Lema alikuwepo?๐Ÿ’
 
An insult in broken english is so disgusting... ๐Ÿคฎ
Wewe Bwege kiswahili chenyenyewe unakiweza?? una umilisi wa kiswahili?? Mpaka umkosoe mwenzako kwenye kimombo ambacho waingereza wenyewe walio wengi bado bado hawako vizuri kwenye standard English.
Wewe kapuku ni nani??๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Wewe Bwege kiswahili chenyenyewe unakiweza?? una umilisi wa kiswahili?? Mpaka umkosoe mwenzako kwenye kimombo ambacho waingereza wenyewe walio wengi bado bado hawako vizuri kwenye standard English.
Wewe kapuku ni nani??๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
Acha kulialia. Hakuna babako hapa JF
 
Acha kulialia. Hakuna babako hapa JF
Nani kalia?? Unajua maana bya kulia?? Soma nilichoandika nimekujibu wewe Mpumbavu kubwa la majinga Popoma! Kuwa English ni shida kwa wazungu, na kiswahili bni vivyo hivyo, sio wote wanafikia UMILISI WA LUGHA!!!

sawa wewe POPOMA
 
Moto unawaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ