Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujiingiza kwenye mtego wa Mbowe mkuu, hiyo ni janja janja tu ili aendelee kusalia kwenye nafasi ya Mwenyekiti MILELE. Unadhani Mbowe asipokuwepo CDM itakufa?CCM wanatamani sana Mbowe akae pembeni hatujajua kwa sababu gani hasa.
Ampishe Heche au Lissu kwa uhai wa chama vinginevyo CDM itazikwa.CCM wanatamani sana Mbowe akae pembeni hatujajua kwa sababu gani hasa.
Walitumia zaidi ya 20bil kuzuia maandamano ya cdm ambayo haipoNi ile ambaye mlikusanya Askari polisi Toka mikoa mbalimbali ya Tanzania,kuzuia mandamano yao.
Kwahiyo umepata jibu kama ipo au la.
Kama haipo wale Askari na makamanda waliowatuma watakuwa walikuwa VICHAA, kuzuia mandamano ya kitu ambacho hakipo.
Hongera sana mkuu KWA KUCHAGUA UJINGA!!!
🤔🤔
So umeweka ya nini?An insult in broken english is so disgusting... 🤮
kwani Lema alikuwepo?🐒Benson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.
Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini au anatumiwa na CCM kufanya hivyo kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.
Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.
Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.
Unajua mke wake ni miongoni mwa wale 19??!!Kigaila ni CHADEMA damdam.
😂😂Mzee Mbowe will never relinquish Chairmanship as long he is alive.
Wewe Bwege kiswahili chenyenyewe unakiweza?? una umilisi wa kiswahili?? Mpaka umkosoe mwenzako kwenye kimombo ambacho waingereza wenyewe walio wengi bado bado hawako vizuri kwenye standard English.An insult in broken english is so disgusting... 🤮
Acha kulialia. Hakuna babako hapa JFWewe Bwege kiswahili chenyenyewe unakiweza?? una umilisi wa kiswahili?? Mpaka umkosoe mwenzako kwenye kimombo ambacho waingereza wenyewe walio wengi bado bado hawako vizuri kwenye standard English.
Wewe kapuku ni nani??🤔🤔🤔
Anajulikana kwa lipi?Wewe hupaswi kumuunga mkono mtu msafi aina ya Lissu...
Unafikiri hujulikani humu?
Nani kalia?? Unajua maana bya kulia?? Soma nilichoandika nimekujibu wewe Mpumbavu kubwa la majinga Popoma! Kuwa English ni shida kwa wazungu, na kiswahili bni vivyo hivyo, sio wote wanafikia UMILISI WA LUGHA!!!Acha kulialia. Hakuna babako hapa JF
Moto unawakaBenson Kigaila mume wa Kunti Majala Mbunge toka muungano wa Covid 19 na Katibu Mkuu wa nne ajae wa Freeman Mbowe endapo Mbowe atashinda Uchaguzi kwa mara nyingine ya nne ili kuongoza tena chama hicho kikuu cha Upinzani kwa nafasi ya Uenyekiti wa Taifa.
Kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya ndani na nje Kigaila ambae ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA BARA amemshambulia vikali Makamu Mwenyekiti wake Bwana Tundu Lissu kwa madai kuwa hajui chochote kuhusu maandalizi ya Uchaguzi kwani hakuwepo nchini au anatumiwa na CCM kufanya hivyo kauli ambayo imezua minong'ono miongoni mwawatu mbalimbali wakijaribu kuhoji uadilifu wa Kigaila dhidi ya ule wa Lissu ndani ya chama hicho Cha CHADEMA.
Kwambali naiona CHADEMA ikimalizikia ni swala la muda na uhai tu tuendelee kumwomba Mungu atulinde ili tushuhudie haya.
Ikumbukwe Press Conference ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bwana Tundu Lissu kule Singida ndio imezaa matunda chanya na kumwibua Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi na yote yanayoendelea Sasa ambayo kwa kiasi kikubwa yameisaidia CHADEMA na Vyama Vingine vya Upinzani.