Naona ni propaganda tu, siku 5 za kupiga mnada zilipita muda mrefu tu. Gazeti la raia mwema likaandika yono wamepigwa marufuku kufanya mnada. Nikaona ni sarakasi tu

Kuna kitu ambacho pengine hatujui kwa hawa watu, sisi kazi yetu kushangilia tu
 
R.I.P B.C Membe
 
Muda mwingine hata Ukimsamehe Adui yako Mkubwa kwa mabaya yote aliyokufanyia huwa ni Kinga tosha ya Ulinzi wako kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kuna mahala Mwenyezi Mungu atakubariki pakubwa kwa huko Kusamehe Kwako.

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…