juju
 
Wewe endelea kuishi kwa hisia, Mimi nimekupa fact za kisheria.
Unajua sio rahisi kama unavyotamani. Kisheria kabisa musiba alitakiwa kupata adhabu kwa kukataa wito wa mahakama.
Musiba alipokea wito wa mahakama, Ila akakataa kwenda. Unahisi kwa nini mahakama haikuchukua hatua kwa kudharauliwa na musiba?

Usifikiri bongo mahakama Ina nguvu kiasi hiko. Juzi hapa yule jaji mstaafu wa mahakama kuu alisema moja ya kitu kilichomtesa sana ni pale alipoona hukumu ya mahakama kuu inachanwa hadharani kabisa na aliyekua waziri mkuu lowassa. Na hakuna kitu walifanya
 
Kumbe aliyechana Hukumu alikuwa Lowasa?
 
Mungu ameamua ugomvi alijisemea Nape
 
Ila ukweli ni kwamba siku yako ikifika hakuna wa kupinga, na tuamini kwamba kama haijafika hata unywe sumu, au upigwe risasi huto kufa, na tujifunze kwamba binadam inatakiwa ujiweke tayari kwa lolote litalotokea mbele yako, kwani huwezi jua kesho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…