Musiba hapo alipo anafurahi kinyama
Kwa utumishi wake uliotukuka kwenye taifa hili BM, na serikali iko upande wao, imekuwaje kifo chake kitangazwe haraka haraka hivi?
Mtu amefariki sijui saa 12 saa 5 asubuhi taarifa zimeshazangaa nchini na kwingineko,

Je Born to Town hana mkono kweli kwenye hili ili aweke anayemtaka yeye 2025 kitini?
 
You can’t defame a deceased person, hiyo kesi ishaisha.

Hakuna mdai tena wa defamation.

Tumeumbiwa udongo na tutarudi kwa udongo.

R.I.P Membe

Usifurahie jambo ambalo utaki wewe likupate kiko wapi leo.
 
Uchuro huo.
 
Unataka chama gani kiingie madarakani ? Kama ni hv vya akina Chadema basi utakuwa na shida kubwa kwenye ubongo
 
Lala unono Benard, umeonyesha Unafiki wa Maaskofu ulipo.

Lala unono Benard umedhihirisha Pascal Mayalla kuwa ni Ndumilakuwili.
 


Ndugu Msiba yupo kijijini katulia.
 
Rufaa kwa mtu ambae hakutokea kabisa mahakamani? Kumbuka musiba alidharau mahakama na hakuitikia wito, pia hukumu ilitoka toka mwaka jana na hakuna rufaa ilikatwa
Mfano akitoa sababu za kueleweka akafanya restoration?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…