Maswali ni mengi mda mchachee. Yaan full vurugu match [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kambi ya watu wema wasiokufa imepata msiba mzito!
 
Hivi sio mwanachama la wale ambao hawafi kama tulivyowahi kuambiwa na mzee Yusufu?
Hivi yule aliyetabiriwa kufa kwa kisu akaamua kujificha, lakini bado alikufa kwa Kisu licha ya kujifungia, ilikuwa kwenye hadithi za Abunuwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…