Ndugu wataendelea kudai maana case ilishahukumiwa. Ingekuwa bado ni ongoing case basi ingeishia hapo.Sasa hapa itakuwaje au ndio Musiba kanusrika hivyo? Wanasheria mliomo humu JF tunaomba mtusaidie kudadavua hili sakata la kisheria.
Acha uongo.. Mungu kaamua ugomviNdio, alikuwa kajichimbia visiwa vya ukara kwa ajili ya kazi hiyo
Huna lolote wewe, muigizaji tu.Ilinichapa wiki mbili zilizopita si mchezo. Nilipambania kiume kwa dawa za kizungu na asili nikatoboa japo haikuwa ya kitoto.
Ukara Ukerewe ??!! Jamaa anasema humu jf soon witches mega war itaanza !!Kuna kisiwa huko cha ukara, ndio uchawi anautolea huko
Du! Kumbe bado Musiba hajapota nafuu yoyote aisee! Hatari sana.Ndugu wataendelea kudai maana case ilishahukumiwa. Ingekuwa bado ni ongoing case basi ingeishia hapo.
Maswali ni mengi mda mchachee. Yaan full vurugu match [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa utumishi wake uliotukuka kwenye taifa hili BM, na serikali iko upande wao, imekuwaje kifo chake kitangazwe haraka haraka hivi?
Mtu amefariki sijui saa 12 saa 5 asubuhi taarifa zimeshazangaa nchini na kwingineko,
Je Born to Town hana mkono kweli kwenye hili ili aweke anayemtaka yeye 2025 kitini?
Acha upambe mkuu Dunia mapito.Msiba den lipo pale
Rip Membe
Kambi ya watu wema wasiokufa imepata msiba mzito!View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
We unaumwa kinyeredi au?!!!Propaganda za kuzugia watu hizi au ?
Naomba familia iendelee kukomaa; Musiba hana adabu. Au kama vipi Zitto Kabwe na January Makamba waendeleze gurudumu ili huyu mbwa afilisiwekabisa.Hapa deni lipo pale pale,ila familia inaweza amua kusamehe na kupotezea.
Hapo ndo pa kupaangalia sana.Kuna mtu alikuwa ameshamtabiria BM umakamu wa Rais.
Haya nenda kauze sasa Mali za msiba si ndo furaha yenu nyie vinyago
So what,kwanza aliyoyasema Musiba ni ya kweli kabisa,wakiendeleza nao wataondoka kabla ya siku zao.Naomba familia iendelee kukomaa; Musiba hana adabu. Au kama vipi Zitto Kabwe na January Makamba waendeleze gurudumu ili huyu mbwa afilisiwekabisa.
Chaliiiii kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KACHERO MBOBEZI CHALI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi yule aliyetabiriwa kufa kwa kisu akaamua kujificha, lakini bado alikufa kwa Kisu licha ya kujifungia, ilikuwa kwenye hadithi za AbunuwasiHivi sio mwanachama la wale ambao hawafi kama tulivyowahi kuambiwa na mzee Yusufu?
Mbona wewe ulifurahia kifo cha Magufuli kwani wewe sio Expected dead?Una Proof? Na wewe kwa maneno yako "Safi Sana" huoni Kama umechekelea kifo Cha Membe ilihali na wewe Ni Expected Dead? Serious ungekaa kimya ingetosha au ungesema si vyema kufurahia msiba wa mtu! Ila hapa umeshindwa kujitofautisha hata kidogo