Mungu ailaze roho ya BM marahali pema peponi. Tukiwa tunaomboleza msiba wa BM, bado tunakumbuka sana kauli chafu na mbaya za Mbunge wa Mtama (Nape) aliposema kifo cha Dkt Magufuli eti kaamua Mungu ugomvi, na Mzee Makamba aliposema wazee walifika wakasema sasa basi inatosha na wazuri hawafi. Nape huko alipo keshajibiwa jibu lake na Mungu kuwa aliyoyatamta kuwa Mungu kaamua ugomvi basi na yeye mtu wake wa karibu aliyekuwa na ugomvi na Musiba kimemtokea hicho hicho. Na tulishaonya hapa jukwaani muda sana kuhusu hii tabia na kibaya zaidi Rais Dkt Samia anawachekea tu hawa waropoka ovyo kiasi kwamba hata yeye anaonekana alishangilia kifo cha Dkt Magufuli. Rais Dkt Samia kifo cha BM kiwe fundisho kwake, apige marufuku dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli, na hii tabia ya kushangilia vifo vya viongozi ikomeshwe. Nategemea humu jukwaani memba wale BAN wanaoshangilia kifo cha Dkt Magufuli na BM. Na hii habari tulishasema wanaompenda Dkt Magufuli ni wengi sana tena sana.
 
Wakiendelea kumdai musiba wataputika wote,waachane na huo ujinga
Serikali hailogwi he must pay and he will pay! Hakuna Justification kwamba Musiba amehusika na kifo Cha BM,amekufa natural death! The only thin Deni lisilipwe Ni Msiba na familia yake yote kids au kusamehewa
 
Buriani Membe. Aliugua ghafla usiku au ilikuwa ni maradhi ya siku nyingi?
Lakini kwa umri wake miaka 70 huwezi kumwita kijana.
Halafu yenye ni kiongozi wa Kitaifa lakini hakwenda hospitali ya Mzena ingawa ipo equidistant na Kairuki kutoka pale nyumbani kwake.
 
Hata kama Membe kafa, deni liko pale pale. Na msimamizi wa mirathi hataweza kumsamehe Musiba kama ambavyo angefanya Membe mwenyewe.

Hivyo, kifo cha Membe ni kibaya zaidi kwa Musiba hata kama atakuwa "anachekelea" sasa
Wishful thinking
 
Narudia shimo la kwako bado lipo pale pale! Huyu kaziba lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km umeumia sanaa ungana nae huyo Membe wako mzikwe wotee.

Nitoleee kelele zakooo, liaa wee ukichoka futa machozi, afu utuletee ratiba ya mazishi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mimi kama mtaalamu wa afya nakushauri usichanganye dawa za kienyeji na hospitali

Utapata shida moja kubwa sana ambayo hutojua ufanye nini

Nmekushauri unaweza kuchukua ushauri au kuupotezea
 
Deni liendelee na Malipo yafanyike kwani ilo jambo mzee alishirikisha Familia yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…