Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudia shimo la kwako bado lipo pale pale! Huyu kaziba lake.
Wenzako wako kwenye taharuki, wewe unaleta mambo ya pesa, uhai kwanzaUnauliza majibu..))
msimamizi wa mirathi anayo haki ya kudai wakati wakukusanya mali na madeni.Hapana coz anaye dai hayupo
Vipi wewe ni ndugu wa marehemu au wamekutuma kuja kuwasemea!!?Kweli kabisa,
Afadhali angekuwepo mwenyewe labda angesamehe lakini warithi hawawezi kusamehe na kwa kuzingatia kifo chenyewe cha utata wa gafla watakuwa na hasira mno!
Sasa sijui atawanyamazisha wangapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bado muuza ngada wa msoga the chegovara huyo sidhani kama 2025 tutakuwa naye ...nitakuwa na furaha kwelikweli ili takataka la msoga...shetani akilichukua
Nyie ndiyo mliokuwa wa kwanza kushangilia kifo Cha JPM na mpaka leo bado mnamtukana.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe Magufuli kuingia madarakani,...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah! Maisha yetu tunatembea nayo mkmikononi mwetu. Mola ilaze roho yake mahali pema peponi. Mzee Makamba alitufundisha kuwa watu wazuri hawafi, imekuwaje tena!View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Unajua matamanio hayazidi uhalisia, wewe haya ni matamanio yako Ila ulipaswa Kuna vitu ujiulize kabla ya kutamani hivyo.Serikali hailogwi he must pay and he will pay! Hakuna Justification kwamba Musiba amehusika na kifo Cha BM,amekufa natural death! The only thin Deni lisilipwe Ni Msiba na familia yake yote kids au kusamehewa
Na ataendelea kutukanwa mpaka mwisho wa dunia pumbavu zake.Nyie ndiyo mliokuwa wa kwanza kushangilia kifo Cha JPM na mpaka leo bado mnamtukana.
Membe si Mmakonde, ni MmweraKwa ninavyowajuwa Wamakonde kama kuna mkono wa mtu basi kabla ya Arobaini ya Membe lazima chuma kiitike.
Tunza hii comment.
Wa Lindi!Kwa ninavyowajuwa Wamakonde kama kuna mkono wa mtu basi kabla ya Arobaini ya Membe lazima chuma kiitike.
Tunza hii comment.
heeeeeeeeee jamani ni wewe kweli au mbona hatuelewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jasusi km kacherooo chaliiiiiiiiMungu ameamua ugomvi.
Hapana hawezi kukesha kwa sababu Ile Ni amri ya Mahakama na Kuna Sheria ya Urithi na mirathi kaisome vizuri! Kuna kipengele "kukusanya Mali na madeni ya marehemu" pale Ni pagumu hasa ukizingatia Membe kwenye Kesi ya Msingi alijumuisha familia yake na kwa maana hiyo atakayetake charge kwa niaba ya baba ataorodhesha pia miongoni mwa watu ambao baba anawadai Ni Musiba na iko clear kwamba kuna hukumu ya kimahakama! Labda familia imsamehe! Lakini bado Yuko Liable to pay!
Afadhali kafa. Kachero gani kaifikisha nchi hapa tulipo.Kama Taifa tunatakiwa tutoke kwenye siasa hizi za chuki zilizozalishwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Baada ya Uchaguzi ule na John Pombe ...