TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Nyie ndiyo mliokuwa wa kwanza kushangilia kifo Cha JPM na mpaka leo bado mnamtukana.
Hakuna aliyeshangilia kifo chake, ila watu walishangilia kuondoka kwenye kongwa la mateso.

Magufuli alikuwa na mazuri yake lakini pia alikuwa na mabaya yake mengi sana hasa lilipokuja suala la haki za binadamu.

Kama kuna anayemtukana mtu basi hiyo ni tabia binafsi ya mtu na wala si watu wote ni watukanaji!!
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Alikuwa mtumishi wa umma(Achana na huo uwaziri) kwa zaidi ya nusu ya uhai wake hili huelezi? Badala yake unaeleza mambo yasiyo na muhimu kivilee. WaLan yu akhara Allahu nafsi izaa jaaa Ajaluha-He it is Who has created you from clay, and then has decreed a stated term (for you to die)
 
1683890235513.png
 
Huyu kuna mtu kaposti twitter alienda kula lunch naye siku 3 zilizopita nadhani ni Serena Hotel kwa mandhari ya nje. Membe alikuwa fiti tu. Aisee, alikuwa anajiamini namna hiyo hadi kuagiza chakula hotelini wakati anajua ana unfinished business na mtu hatari kama Musiba?
 
Mudawote Kitambo "no see".

Leo umetoka mafichoni.


Upinzani ulikufa kweli 2015 na CCM inapendwa kwa asilimia mia (100%)?
Allen Kilewella sisi wapambe kindaki ndaki wa uadilifu tuliona tupumzike kidogo maana kila kukicha tulikuwa tunalia kwa sababu ya kejeli na kebehi kwa Dkt Magufuli, tuliomba platform kibao zikomeshe hii tabia na wapige marufuku dhihaka kwa Dkt Magufuli ila matokeo yake mpaka wakaenda kumtungia kitabu kumchafua.

Rais Dkt Samia yupo vizuri ila sijui kwa nini kashindwa kabisa kukemea wanaomchafua Dkt Magufuli, na kibaya kabisa tena kibaya kabisa mitaani kwa wapiga kura sasa inajulikana na yeye Rais Dkt Samia alishangilia kifo cha Dkt Magufuli na jamii ya wapiga kura inamchukia sana tena mno.

Hatujui washauri wake wanamuambia nini kuhusu 2025, ila hali ni mbaya sana kwake. Na kilichosababisha ni kushindwa kushindwa kukemea wanaoshangilia au kudhihaki kifo cha Dkt Magufuli.
 
Naaona leo mmefufua zile akaunti zenu mlizokuwa mmezizika!!

Leo mmekuja na "Full swing" kama mko harusini na chereko za kutosha!!
Sukuma gang hao mawakala wa shetani mtoa roho,Achana nao fanya kazi yako endelea kumtukuza Mingu kwa kukupa uhai na kushuhudia utukufu wake.Membe kafa kifo chema Miaka 70 wengine hatutafika huko hata yule dhalimu hakufikisha hiyo miaka.
 
Back
Top Bottom