OKMungu ataamua na kuingilia kati
Kilichostua ni kupelekwa hospital kama kairuki badala ya muhimbili, aghakan au mzenaJe ana record ya kuumwa kifua? Or that case happen suddenly?
Ni jamii moja tu hiyo, kama tunavyowajumuisha Wakwere na Wazaramo.Membe si Mmakonde, ni Mmwera
Pumzika kwa amani Membe miaka 70 Mungu akubariki.kikubwa sasa ni kuomboleza tu, utajifariji na yoote ila ishatokea
View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Anacho Mzee Makamba 😂 😂 😂 😂 😂 😂Duh! Kitabu gani hicho ndugu mtanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku tano kwa sababu ndio zilitajwaMbona unang'ang'ana sana na siku tano. Kwani Membe hakuwa na hela ya kula mpaka akadai hiyo hela ndani ya siku tano, au kuna sheria inalazimisha udai ndani ya siku hizo. Angesubiri hata mwaka angedai
Kwenye hii dunia yenye kujaa figisu kila jambo linawezekana.Kumbuka Musiba sio kwamba ana maadui tu lakini pia ana marafiki(Sukumagang).Na hao marafiki hawawezi kufurahi kuona mmoja wao anaanguka!Madamu mwenye kesi hayupo kila kitu kinawezekana mkuu!Muda bado upo wa rufaa?
Hatar sana haya mambo kama namuona Musiba anavyojiandaa kuvimba.Hakuna kitu hapo mkuu,kwani Mahakama ziko chini ya nani na unamjua aliyem-kolimba Membe?Akili kichwani.
Mkuu naomba link ya post hio
Wajinga wengi humu JF wanadhani sheria inaendeshwa au kutekelezwa kwa opinion, haiko hivyo.Inategemea na kesi ya mahakama iliandikwa nani anadai.
Sasa kama kesi iliandikwa anayedai ni membe itakuwaje.
Ni ishu ngumu.
Naamini wataacha tuu familia kudai itawaletea shida.
Swali la msingi kabisa kwanini apelekwe Hubert Kairuki wakati alikuwa kiongozi mwandamizi wa serikali??? Je Hubert Kairuki ni nzuri kuliko Muhimbili?? Je na ile hospitali ya viongozi wa serikali kwa nini hawakumpeleka huko???? Je BM kafariki hana imani na serikali???? Haya ni maswali ya msingi sana. Kikubwa watanzania tuwe wamoja, naamini kabisa BM alikuwa mzalendo sana na kaitumikia nchi yetu kwa uzalendo wa hali ya juu, anahitaji heshima tuache dhihaka. Ni kama ilivyo kwa Dkt Magufuli, tusipende kulipiza kisasi, wote sisi ni wafiwa watarajiwa na kifo hakiepukiki.View attachment 2618772
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.
Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.
Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
Porojo dot com.Hakuna kitu hapo mkuu,kwani Mahakama ziko chini ya nani na unamjua aliyem-kolimba Membe?Akili kichwani.
Shangaa mkuu! Mahakama zenyewe za kihuni tu.Mlimdanganya, Maneno maneno tu iwe b9 [emoji23], hivi b9 mnazijua kweli ? Hizo ni million elfu 9
Wanasema kirusi cha Covid kilichoboreshwa kimepiga hodi mjini. May be ndicho kimeondoka na jasusi letu bobevu. Sote tuchukue tahadhari na tuliombee jasusi letu lipumzike kwa amani. 🙏🏿Msiba atacheza nao mmoja baada ya mwingine...kwà kutumia dawa hiyo hiyo.
KUUMWA kifua kidogo tu CHALI!!!
Na Wamakua je?Ni jamii moja tu hiyo, kama tunavyowajumuisha Wakwere na Wazaramo.