Sijui Mzee Makamba atasemaje. Wema huwa hawafi. RIEP Mzee Benard Membe
Duh! Kitabu gani hicho ndugu mtanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anacho Mzee Makamba 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mbona unang'ang'ana sana na siku tano. Kwani Membe hakuwa na hela ya kula mpaka akadai hiyo hela ndani ya siku tano, au kuna sheria inalazimisha udai ndani ya siku hizo. Angesubiri hata mwaka angedai
Siku tano kwa sababu ndio zilitajwa
 
Swali la msingi kabisa kwanini apelekwe Hubert Kairuki wakati alikuwa kiongozi mwandamizi wa serikali??? Je Hubert Kairuki ni nzuri kuliko Muhimbili?? Je na ile hospitali ya viongozi wa serikali kwa nini hawakumpeleka huko???? Je BM kafariki hana imani na serikali???? Haya ni maswali ya msingi sana. Kikubwa watanzania tuwe wamoja, naamini kabisa BM alikuwa mzalendo sana na kaitumikia nchi yetu kwa uzalendo wa hali ya juu, anahitaji heshima tuache dhihaka. Ni kama ilivyo kwa Dkt Magufuli, tusipende kulipiza kisasi, wote sisi ni wafiwa watarajiwa na kifo hakiepukiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…