Amin
 
Wakati wa JPM mlishangilia Sasa hivi ndio mnataka tuwe pamoja[emoji23] gemu ndio limeanza Bado 3
 
Mkuu mimi kama mtaalamu wa afya nakushauri usichanganye dawa za kienyeji na hospitali

Utapata shida moja kubwa sana ambayo hutojua ufanye nini

Nmekushauri unaweza kuchukua ushauri au kuupotezea
Ninashukuru Sana mkuu. Ni hizi za aina ya spices kama tangawizi, tunguu maji na swaumu, limao, mdalasini, mchaichai n.k Je navyo siyo sahihi kutumia ukiwa na dawa za hospital? Mfano Mimi nilipewa Azythromycine, dawa ya kikohozi na Aspirin Junior Ila nikawa na vitamin D, C na Zincovit. Ambazo vitamin natumia mpaka Leo. Aspirin Junior nilimeza kama wiki nikaacha. Je niendelee Asprin Junior mpaka zote ziishe?
 
Sukuma gang hao mawakala wa shetani mtoa roho,Achana nao fanya kazi yako endelea kumtukuza Mingu kwa kukupa uhai na kushuhudia utukufu wake.Membe kafa kifo chema Miaka 70 wengine hatutafika huko hata yule dhalimu hakufikisha hiyo miaka.
Chukua tissue futa machozi then jipige kifuani sema Mungu kaamua ugomvi. Mbona hujataja Membe aliyoshindwa ila Magufuli kayaweza tofauti na hilo kombe lenu la miaka 70
 
Nani?
 
Na kama Nape alienda kumzuru mgonjwa bila tahadhari inabidi awe makini. Mimi nilipitia tu document ya mwenzangu alikuwa amepitiwa bilà kujijua. Hi kitu ni mbaya mno aisee. Na Sisi ambao umri umesonga ni Shida Sana maana umachoka mwilini. Yaani Electrolytes zinakuwa chini Sana hivyo nguvu inakuwa kidogo Sana.
 
Jamani tuhurumiane, haya mambo ya kufiwa yasikie kwa jirani
Wapiii mzoga [emoji879][emoji879][emoji879][emoji879] wa maembe ....piga keleleeeeeeeeeere[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…