Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
Hakika .sauti ya wengi ni sauti ya Allah!Kila kinara wa kujitoa kafara kuangusha tawala au mtawala fulani nae hachelewi kufa, zile clips hazikuwa za bure kafara ni hapa hapa Duniani. Mungu habagui it has begun
Asee mkuu kinyungu nataka kusafiri hadi Alaska Marekani na kuua hao Bald Eagle wakutosha. Nataka kufanya hivyo maksudi kuwaumiza tu hisia za wamarekani. Chinja chinja weka sumu yafe tu kwa wingi hayo mabald eagle.Kama namuona Musiba huko aliko.🚶🏾♂️🚶🏾♂️🚶🏾♂️
Nikifa mm sitasikitika maana nitakuwa nimekufa, lkn kifo cha BKM kimenihuzunisha sana.Utafikiwa na wewe upo kwenye foleni
Lowasa mjanja kama Putin ajichanganyi na watu hovyo hovyo. Ukiwa na appointment naye lazima uwe isolated for two weeks under close supavishen na kupimwa ndo utaonana.R.I.P KACHERO MBOBEZI,
Najaribu kuwaza BM angeukwaa Uraisi Ile 2015 NDIO kusema Leo tungekua na TANZIA,
Tanzia ya kumpoteza Amir jeshi mkuu...au Kifo kinge be SKIPPED.....
Lowassa is still alive..na wengi wali mtabiria mzee lowassa kua hatoboi... wenyewe NDIO hawajatoboa....
Najaribu kuwaza..
2 Tim 4:7
Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani Umeilinda
Pumzika Kwa amani,
R.I.P Mh. Benard Membe
Acha kujifanya mwema leo yaani wewe ndio katibu wa kumdhihaki magufuli leo unajifanya mwema tutolee unafiki wakoWapi nilishangilia? Nlimchukia JPM ila siku wanatangaza msiba niliumia sana. Ubinadamu ni zaidi ya siasa, ila haibadili ukweli kwamba impact ya msiba wa JPM haiwezi kuwa compensated na vifo vya raia wa kawaida!!
Maana ya Neno huwa kwa msemaji wa neno.
Sukuma gang hamkumuelewa Mzee Makamba au ni sababu ya chuki na nongwa tu?
Mbona ni msemo wa kawaida miongoni mwa wasomi na werevu?
Kwamba watu wema hawafi maana yake “ wanakuwa kama vile wamelala tu sababu matendo yao mema yanabaki kuishi”
Ni msemo wa kawaida miongoni mwa jamii ya waelewa.
Na unahamasisha watu kutenda mema ili wakifa yale matendo yao mema yatakuwa yakienziwa kana kwamba wapo hai.
Asomaye na afahamu.
It was too soon from political arena. Pumzika kwa amani mkuu Membe
Hela Musiba lazima alipe kwa mujibu wa sheria na hukumu iliyokwisha tolewa
Leo ndio mnajua haya nyie si ndio mlisema wazuri hawafi.Hivi nyie wafuasi wa fuasi wa Magufuli kwani nyie hamta kufa?
Kila binadamu lazima afe na hata huyo Magufuli alikufa kwasababu ni binadamu
Vipi mr mackenzie.Dogo heshima kwako. Unavituko.
Hapo sasa ! Lakini tukirudi nyuma kidogo ni kwamba inasemekana Membe na JK ni pete na chanda ! Na pia inasemekana Mama na JK ni wamoja sasa hapo Musiba anapata ahueni ipi ??!!! Au hayo yanayosemwa ni uzushi tuu ??!!Waendelee kwa leseni ipi waliyonayo 🤣🤣🤣
Dah dogoo acha tu tangu ishu ya Mackenzie nimeamua tu nitulie. Yani bonge la doa. Ila wagalatia inabidi tuwe serious na kubadilika. Tunafanya mambo ya kijinga jinga tunadhalilika kuabika.Vipi mr mackenzie.
Wanasemaje hapo parokiani.
Poleni sana Sukuma gang but msiba wa JPM hauna compensation. Mkijitia moyo kwa vifo vya wastaafu ni kujilisha upepo tu. Mmeleta siasa za chuki wenyewe acheni mvune mlichopanda. Mpaka mfike 2025 mtakua mmegawanyika Ili mtupisheAcha kujifanya mwema leo yaani wewe ndio katibu wa kumdhihaki magufuli leo unajifanya mwema tutolee unafiki wako
Yuko vizuri !! Precautions ni muhimu kwa wazee !!Lowasa mjanja kama Putin ajichanganyi na watu hovyo hovyo. Ukiwa na appointment naye lazima uwe isolated for two weeks under close supavishen na kupimwa ndo utaonana.