[emoji1787][emoji1787]Punguza jazba mkuu relux, kunywa maji then futamajasho, wazuri hamfi.
 
Sawasawa πŸ‘ πŸ‘
 
Yeah Mimi nitakufa but Sina ubaya niliomfanyia mtu tofauti na huyo ibilisi wenu aliumiza wengi sana. Ni sawa Leo ushangilie kifo cha Lowassa?? Itasaidia Nini?
Una ubaya wewe ni malaika hadi useme una ubaya tena wewe unaonekana ni mbakaji. Hayo mabaya aliokufanyia magufuli una ushahidi nayo.
Ebu nenda kamuhudumie kwanza zitto machunusi .
Alafu hapa unafanya nini wakati mna msiba wa Rais wenu nendeni mkaomboleze huko fala wewe
 
Kama ulishindwa kung'amua maana ya huo msemo basi wewe ni kilaza kweli kweli, labda nikuulize swali ni mazingira gani yalisababisha Makamba akaropoka hiyo kauli?.



Unasema aliropoka?

Vipi wakati wa campaign ya uchaguzi Mkuu wa kwanza aliposema β€œ JK aliwabatiza wapinzani Kwa maji , lakini Magufuli atawabatiza wapinzani Kwa moto”

Hayo maneno uliyaonaje?

Yaani akifagilia sawa Ila akiongea kwa kutomuelewa mnasema ameropoka?

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!
 
Acha kupaka rangi upepo dogo!
 
Jitekenye na kujitia dole mwenyewe kisha nusa, Wakili wa Membe tayari ameshatowa statement madai yako pale pale.
 
Sukuma gang hao mawakala wa shetani mtoa roho,Achana nao fanya kazi yako endelea kumtukuza Mingu kwa kukupa uhai na kushuhudia utukufu wake.Membe kafa kifo chema Miaka 70 wengine hatutafika huko hata yule dhalimu hakufikisha hiyo miaka.
Mungu ameingilia kati, ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga... karma is a bitch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…