Kwakweli hata wafe kina membe 50,kwangu kufa yule jamaa muuaji kutoka chatle hata sasa nina furaha saaaaanaaaaa.Membe hana effect yoyote.Kwo kumfananisha na ******** muuaji ni KUTAFUTA namna ya kujifariji tu
Wahi msiban jombaa ukazike mzoga wenu Kwanza ushaanza kunuka , ukiendelea kuzurura humu jF mwisho utazimia 😁😁
 
Pumzika kwa amani Jasusi Benard Cammilius Membe, waswahili wanasema kulia ni kupokezana. Kauli ya kamaradi wako Mzee Makamba inatumika kukupiga "watu wazuri hawafi". Japo umekata kauli , msiba wako unatoa taswira jinsi kulivyo na tabaka mbili katika Watanzania. Tabaka lililoumizwa na msiba wa JPM leo ndio wanasherekea mauti yako. Tabaka la walifurahia kifo cha muzilankende (JPM) Leo ndio wanakulilia japo hawana nguvu ya UMMA nyuma yao na msiba umebaki wa familiar chache za mikocheni na masaki kama kina Zito Zuberi wanaokuja msibani na makamera.
 

Attachments

  • IMG-20230512-WA0298.jpg
    86.9 KB · Views: 1
Uwe pamoja na nani bwege kweli wewe, "Niguse ninuke" 🤣
 
Kama ambavyo mlamba asali Membe anaenda kuoza soon 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…