Membe amepumzika kwa aman ila dikteta alikufa kwa aibu.Humjui Membe, nenda msibani ukazike ili umjue vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe amepumzika kwa aman ila dikteta alikufa kwa aibu.Humjui Membe, nenda msibani ukazike ili umjue vizuri
Kazikwe nae Rondo huko mwehu wewe 🤣🤣🤣Kwakweli hata wafe kina membe 50,kwangu kufa yule jamaa muuaji kutoka chatle hata sasa nina furaha saaaaanaaaaa.Membe hana effect yoyote.Kwo kumfananisha na ******** muuaji ni KUTAFUTA namna ya kujifariji tu
Kateseka na kinyongo cha bil. 9 hadi kafa nacho kmmmk 🤣🤣🤣 ndio imetoka hio. Jiandaen kwa rufaa tuMembe amepumzika kwa aman ila dikteta alikufa kwa aibu.
Wahi msiban jombaa ukazike mzoga wenu Kwanza ushaanza kunuka , ukiendelea kuzurura humu jF mwisho utazimia 😁😁Kwakweli hata wafe kina membe 50,kwangu kufa yule jamaa muuaji kutoka chatle hata sasa nina furaha saaaaanaaaaa.Membe hana effect yoyote.Kwo kumfananisha na ******** muuaji ni KUTAFUTA namna ya kujifariji tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Huku jf naona leo kuna vita kali sana
Nashauri polisi waandae PT za kutosha,kuepuka madhara hapo baadae [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana
Ni haki yake kudai.Hawezi kupumzika kwa amani maana kafa akiwa na chuki na Musiba tena isiyo sababu. Sababu ilikuwa moja tu, kuwakomesha supporters wa JPM. Hapo amani itoke wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku jf naona leo kuna vita kali sana
Nashauri polisi waandae PT za kutosha,kuepuka madhara hapo baadae [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana
Tulieni dawa iwaingie, waiter leta bucket ya Guiness smooth😀 leo tunakesha hapa.Tusameheane tu jamani. Kosa moja halihalishi kosa lingine.
Uwe pamoja na nani bwege kweli wewe, "Niguse ninuke" 🤣Pole yetu sote watanzania na hasa kwa familia. Pole sana Mh. Nape Nnauye kwa kuondokewa na Baba yako wa kisiasa na mlezi wako aliyekukabidhi jimbo la Mtama. Watanzania tuwe wamoja ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi. Apumzike kwa Amani Mh. Bernard Membe, hakika taifa limepoteza mwana deplomasia mahili.
Uwe pamoja na nani bwege kweli wewe, "Niguse ninuke" [emoji1787]
Kila mtu ashinde mechi zake babu 🤣🤣🤣Kila timu ishinde mechi zake sio [emoji1787][emoji23][emoji23]
Nyumbani hata Ugenini 🙏🏾🙏🏾Kila timu ishinde mechi zake sio [emoji1787][emoji23][emoji23]
Alikufanya nini?Amani itoke wapi
Kwa watu wa roho mbaya kama yeye
Kama ambavyo mlamba asali Membe anaenda kuoza soon 🤣Mpumbavu kweli wewe.
Kwani mtu kuku impact mpaka mkutane.
Alivyozuia nyongeza za mishahara kwa wafanyakazi mpaka kupelekea wamchukie walikutana nae wapi?
Ndugu wa Ben sa 8 unafikiri wanampenda Magu?
Je waliwahi kukutana?.
Huko CCM amfundishwi kufikiri kwa mantiki?
All in all jamaa lako limekufa na limeshaoza.
Wema hawafi so kama amekufa sio mwemaAlikufanya nini?