TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Mimi Mwili ukiwasili tu nitauagia hapa hapa Dar es Salaam na kwa wale Wazanaki mliopo Busegwe Wilayani Butiama na mlio njiani sasa kuelekea huko Musoma Mkoani Mara na Kaka Mkubwa aliyetangulia Kijijini mtaniwakilisha katika Maziko kwani nina Msiba mwingine wa Kuuhudhuria wa Mmwela Mkwere wa ghafla Jana.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume na Dr Matola PhD
Wazee wa Lindi wana jambo lao, wana VAR yao.
 

Attachments

  • IMG-20230513-WA0005.jpg
    IMG-20230513-WA0005.jpg
    74.6 KB · Views: 2
Nani kapigwa kitu kizito, Mimi ni Anti-JPM ila sipo CCM Sasa hayo ya Membe yananiumaje Mimi? Unless ingekua Mbowe au Lissu ndio ningeumia.
Pole sana Mkuu,wakati mwingine ukiwa na machungu sana ya kumpoteza umpendaye ni vizuri kuomboleza.Huku kujitia upo sawa wakati matendo yako yanaonyesha unapitia machungu makubwa siyo nzurj kwa afya yako.
 
SIRI YA KUKISHINDA KIFO NI KUJIANDAA KUKIPOKEA, maana hujui LINI, SIKU, wala SAA kitakuja, tuishi vizuri wanajamvi, hatuna haja ya kutukanana, kuzulumiana, kutesa wengine, kutenda uovu, wala kuchepuka(😂😂😂) tangulia Mkuu Membe, uwe na sehemu njema huko ulipo.
Haya ndio maneno ya kweli kweli tupu 😅😅 hapa duniani tunapita tu ! Ila ipo mijitu huwa inadhani hapa ndio imeshafika safari yao kumbe tupo transit tu !!
 
Mkuu, unajua kabisa Mimi huwa nachukulia mabandiko yako kwa uzito mkubwa. Nakuamini kwa sababu nikama ulikuwa Karibu kiasi na familia ya Mzee Membe(RIP)- Mzee alisoma na Baba yako Mkubwa.
Ukweli ni kwamba, mimi sikuwa karibu nae bali ndugu zangu WENGI (wa karibu) ndio walikuwa karibu nae, TENA SANA!

Maishani mwangu nimewahi kukutana nae mara 2 TU, mara ya kwanza nyumbani kwake na mara ya pili, kwenye msiba wa kakake!

In short, nilijitenga nae (though ndivyo nilivyo) manake ingawaje nilipoenda nyumbani kwake alinipatia namba yake, bado SIKUWAHI kumpigia hata mara moja!!

The question is: Je, kifo chake kimenigusa? The answer is YES! Ikiwa niliguswa hata na kifo cha Jiwe ambae mara kwa mara nilikuwa nampinga, seuze Ben ambae kwa namna moja au nyingine ni kama nilivyosema hapo juu!
Sema maadishi yako kwenye bandiko nilililonukuu hapa juu linanishutua kwa kumalizia sentensi zako na alama ya mshangao (!).
Bila shaka unazungumzia hapa chini
Nasema "umri wa passport" coz' Ben kasoma darasa moja na baba yangu mkubwa, and he's 77 NOW.
Kama ndivyo, nikiri kwamba NILIROPOKA! Unajua Mshua na Ben walikuwa VERY CLOSE to the point niliamini wamesoma DARASA MOJA!

Sasa jana nikaanza kupata mashaka na nilichosema, ikabidi ni-verify nilichosema kwa kumuuliza Mshua vizuri. Kumbe hawakusoma Darasa Moja!

In short, Ben alianza shule wakati Mshua akiwa ndo mwaka wake wa mwisho.

Sasa kwavile wao ndo walibahatika kufika mbali (kielimu na kiutumishi serikalini) huku wakitoka kijiji kimoja, basi nadhani ndicho kilitengeneza bond yao na kuwa kubwa katika maisha yao yote!

So, Ben ni mdogo sana kwa Mshua.
Tulisoma na watu wanatuzidi 10yrs, zamani ilitegemea mtu anatoka familia gani. Kuna familia hazikujali elimu, watoto walienda shule wakiwa 12yrs+ wakati wengine walianza na 7yrs.
 
Back
Top Bottom