Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siumii naona wewe unateseka sana.Unaumia kutokea wapi asee
Kweli kabisa Chief, msamaha ni jambo kubwa na la msingi, zaidi sana linaponya moyo.Umesahau msamaha, ujiandae ukiombwa msamaha kubali kusamehe kama jembe alivyo msamehe nape, vinginenvyo unaenda kuchezea mototu.
Vipi tumbo limepungua sasa?Was a great man of his time.. let him rest in peace.
Si ndie ulituambia humu kuwa wewe na mumeo mulikuwa mgahawani ndipo mukasikia membe ni raisi 2025?Amefurahi sana kusikia taarifa za mzoga wa membe
Wakati tunawaambia hawa ant JPM kuwa wawe na mipaka hasa mtu anapokuwa ametwaliwa na Muumba wake walikuwa wamejawa na kiburi kikubwa utadhani wao walikuwa Immortal.Nakubaliana na wewe dalili si njema na sote tujifunze kupitia huu msibaTaifa linahitaji uponyaji! Seriously! Mama Samia ana mzigo mzito sana kuweka sawa mambo ili visasi vikome. Ukisoma comments mitandaoni unapata picha halisi nini kinaendelea kwenye jamii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliUneutendea haki huu uzi Mungu akubariki
Nimekupenda
Upo chama gani? Kuwa ccm sio lazima uvae kijani hata hisia tu zinatoshaMtajuana wenyewe CCM mie siko Hilo chama lenu bovu.
Hapo cha kukusaidia ni kuhama nchiMsiba wa MEMBE umesadifu mpasuko na chuki alizoziotesha magufuli.....
Magufuli alikuta taifa linaloahikamana, ameacha taifa lililogawanyika ....
Tena tuendeleze mtanange viziri....team magu vs ant maguHapo cha kukusaidia ni kuhama nchi
Nchi bila kuwa na mgawanyiko haiwezekani, sisi ni watu sio mifugo
Mwl kula wine kula 🍷 kula 🍷😁 Wanaccm mmepatwa na nini jamani? Mmegeuka samaki mnakulana wenyewe kwa wenyewe
Msiba wa MEMBE umesadifu mpasuko na chuki alizoziotesha magufuli.....
Magufuli alikuta taifa linaloahikamana, ameacha taifa lililogawanyika ....
Inaniuma!!!!Inaonekana membe alisahau kumuomba makamba amuweke kwenye ile list ambayo hawatakufa
Hakuna jasusi, unakufaje na mafuaNipoooo, tunaomboleza msiba wa Jasusi mbobevu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nacheka km mazuriiii
Inaniuma!!!!
Ila najaa furaha kila nikikumbuka kifo cha MAGUFULI
Usininyweshe wine za emoji share location nije kunywa kwenye kidumu kabisa cha lita tano sitaki glassMwl kula wine kula 🍷 kula 🍷