sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Kachukue umle nyama si mnapenda sanaNaaah sio wangu, sipo CCM Mimi haunihusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachukue umle nyama si mnapenda sanaNaaah sio wangu, sipo CCM Mimi haunihusu.
Deni halilipwi hata sent na mtu atakayejitia kihelehele kudai anasepaDeni lilipwe kabla hajazikwa,
Kama Kuna mkono WA mtu Alaaniwe milele
Hahaaaa, kama mazuri vile.Wazee wa Lindi wana jambo lao, wana VAR yao.
AiseeeeeKachukue umle nyama si mnapenda sana
Mwl karibu 🍷 🍷Alikufanya nini?
AiseeeeeeUwe pamoja na nani bwege kweli wewe, "Niguse ninuke" 🤣
Hahasaaaa, sikuupitia huu uzi jana ndio naupitia leo. Acha vitisho wewe😀😃😄😁😆😅🤣Hii ndio maana halis ya Mungu kuamulia ugomvi
Kati ya musiba na membe
Bahari kwa sasa imetulia hakika deni hatulipi na atakaye dai analamba mchanga
Belinda karibu wine 🍷 🍷 🍷 🍷 🍷 🍷 🍷Pia nimejifunza kitu kutokana na Kabila lake kupata Ubini wa upande wa mama. Kumbe tamaduni tofauti sana.
Hahaaa naona mtumishi unampiga mtu ngumi za pua.Acheni kupotosha, Sauli hakudondoka bali alifia vitani!.
AiseeeeeeJASUSI MEMBE kapigwa KATAFUNUA.
Yuko Jehanamu muda huu anaugulia ukuni wa moto.
cocastic umepotea humu jamvini hadi nikataka kuanzisha uzi wa kukuulizia. Nimefurahi kukuona sister.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁 Wanaccm mmepatwa na nini jamani? Mmegeuka samaki mnakulana wenyewe kwa wenyeweMwl karibu 🍷 🍷
Msiba wao unaagwa karimjee hall kwa watu baadhi, akati JPM taifa zima lililia kwa mkapaa.
J4 ije haraka wamfukie mtu wao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shut the f**k up, mambo ya CCM yananihusu Nini?Pole sana Mkuu,wakati mwingine ukiwa na machungu sana ya kumpoteza umpendaye ni vizuri kuomboleza.Huku kujitia upo sawa wakati matendo yako yanaonyesha unapitia machungu makubwa siyo nzurj kwa afya yako.
Mtajuana wenyewe CCM mie siko Hilo chama lenu bovu.Kachukue umle nyama si mnapenda sana
Nani yupo ACT? Mnachekesha sana Sukuma gang, kumpa pole Chadema kwa msiba wa CCM ni kulazimisha kujitia moyo! deal with your problems it doesn't concern me.Sasa zitto machunusi membe si aligombea urais chama chenu cha Act wazalendo unasemaje msiba haukuhusu mbona unaanza kukana wenzako
Zitto junior unakuwaje chadema🤣🤣🤣Nani yupo ACT? Mnachekesha sana Sukuma gang, kumpa pole Chadema kwa msiba wa CCM ni kulazimisha kujitia moyo! deal with your problems it doesn't concern me.
DuuhMungu fundi kama umeumizwa kazikwe nae rondo. Wazuri hawafi bwana