TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Leo ni siku ya furaha sana team JPM tunagonga grass tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wachawi mnafuraha tele haya bwana!
 
Una Proof? Na wewe kwa maneno yako "Safi Sana" huoni Kama umechekelea kifo Cha Membe ilihali na wewe Ni Expected Dead? Serious ungekaa kimya ingetosha au ungesema si vyema kufurahia msiba wa mtu! Ila hapa umeshindwa kujitofautisha hata kidogo
Huwa nashindwa kuelewa mtu anayeshangilia kifo Cha mtu.

Watu wanahisi kifo ni adhabu. Wakati kila mtu atakufa iwe leo au kesho
 
ITV naona nao wametoa hii habari ni kweli kabisa.
Screenshot_20230512-115227.jpg
 
Hapana hawezi kukesha kwa sababu Ile Ni amri ya Mahakama na Kuna Sheria ya Urithi na mirathi kaisome vizuri! Kuna kipengele "kukusanya Mali na madeni ya marehemu" pale Ni pagumu hasa ukizingatia Membe kwenye Kesi ya Msingi alijumuisha familia yake na kwa maana hiyo atakayetake charge kwa niaba ya baba ataorodhesha pia miongoni mwa watu ambao baba anawadai Ni Musiba na iko clear kwamba kuna hukumu ya kimahakama! Labda familia imsamehe! Lakini bado Yuko Liable to pay!
Sidhani kama familia ya Membe itaendelea na haya madai kwani Hadi viongozi wa dini waliwahi kumsihi MeMembe amsamehe Musiba kwa hiyo binafsi naamini familia unaweza ikasamehe
Ni mtazamo wangu
 
Back
Top Bottom