Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dunia mapito mkuu acha ushabiki maandazi.Naomba familia iendelee kukomaa; Musiba hana adabu. Au kama vipi Zitto Kabwe na January Makamba waendeleze gurudumu ili huyu mbwa afilisiwekabisa.
BADO CHALI YA KWAKO, YAKE AMEIMALIZAChaliiiii kabisaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama aliyosema ni kweli mbona mahakama imemkuta na hatia na kumlipisha faini ya 9b? Mbona hakukata rufaa?So what,kwanza aliyoyasema Musiba ni ya kweli kabisa,wakiendeleza nao wataondoka kabla ya siku zao.
Na walisema wao hawatakufa coz ni watu wazuriNa ametangulizwa, Mbona mlimtanguliza Mja wa Mungu JPM?.
Mtakufa tu, ni suala la muda.
Uko sawa👍Unajua sio rahisi kama unavyotamani. Kisheria kabisa musiba alitakiwa kupata adhabu kwa kukataa wito wa mahakama.
Musiba alipokea wito wa mahakama, Ila akakataa kwenda. Unahisi kwa nini mahakama haikuchukua hatua kwa kudharauliwa na musiba?
Usifikiri bongo mahakama Ina nguvu kiasi hiko. Juzi hapa yule jaji mstaafu wa mahakama kuu alisema moja ya kitu kilichomtesa sana ni pale alipoona hukumu ya mahakama kuu inachanwa hadharani kabisa na aliyekua waziri mkuu lowassa. Na hakuna kitu walifanya
Wewe unadhani kuwachafua watu ndio ushabiki chapati? Lazima huyo mbwa afilisiwe ili iwe fundisho kwa wengine.Dunia mapito mkuu acha ushabiki maandazi.
Bado Mfalme wao Born town!Na bado,wataanguka mmoja baada ya mwingine. Kazi ndo kwanza imeanza. Mungu hachezewi. Wana Wema gani wao?Mwema ni Mungu pekee.
Tatizo lipi?Ndio tatizo la baadhi ya members humu jf
Ana drones za Hatari kama zile za Iran 🇮🇷 ???!Aaaaa wapi
Watamwona kama moto wa kuotea mbali walahi!
Hebu lia taratibu mkuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]BADO CHALI YA KWAKO, YAKE AMEIMALIZA
Pengine hizo mali ni za "nguvu flani" hazipigiki mnada, zinaogopwa.Siku 5 zilipita unahisi kwa nini hao madalali wameshindwa kupiga mnada?
Bado chali ya kwako....iko ple paleHebu lia taratibu mkuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi nawee unamfata huko huko mzikwe wotee?
Na badoooo